monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,621
Noma sana!
Emmm; siafiki sana habari ya kupigwa fimbo kutokana na kutoelewa masomo ya darasani. Lakini mwanafunzi anayechapwa fimbo kwa makosa ya kijinga-jinga au uzembe ni halali.Kwa mfano mwanafunzi anaambiwa usiwe na wala usitumie simu hapa shuleni(Tunajua wanazo cm huko nje)au anaambiwa awe darasani wakati wa masomo-lakini yeye anazurura huko nje akichapwa nakubaliana kwani ni onyo na ni kwa manufaa yake.Halafu utakuta walikuwa wanapigwa fimbo kila siku badala ya kujua changamoto zinazowakabili na kwanini hawaelewi
Ni mjinga tu atakaefurahia haya ila kuna tatizo kwenye mfumo wote wa Elimu
Yaani hawajui kufundisha na waliofaulu wamekariri tu kila kitu
Siyo wake za wasomi?Wake za bodaboda hao
Mwanangu nashukuru mungu kwa kupata zero...kirikuu hichi hapa...ndio urithi wako nilio bakiwa nao...Pambana




wewe baba weweNdio Wana supply hio nguvu kazi sio!??Division 4 ni 0 pia
Hao ndo madada poa
Ndo wadangaji
Ndo machinga
Ndo boda boda
Ndo wapiga debe
Ndo wafanya biashara
Kuna mtu mmoja namjua alipata four zile za 26/27Kwahiyo mwenye "D" zote na "C" mbili atleast akapata division 4 ya point 26 ambayo anaweza kwenda chuo au kusoma kidato cha tano (5) huku ana-reseat ni sawa na wenye "F" zote?!we vipi?!
Division 0 maana yake ni Failure!.. ni kama la saba tu wala haesabiki kwenye kundi la waliosoma sekondari. (Huyu kapoteza muda tu..., yaan alienda kukua,kujifunza uhuni wa kijinga, kupata mademu, mabwana na kupata washkaji na kuvuta bange basi!)
Division 4 hana ufaulu wa kwenda kidato cha tano ila anaweza kusoma mambo mengine au kurudia shule na akafanya vizuri.
Hujawahi fatilia miandiko yao?Ndio Wana supply hio nguvu kazi sio!??
Kabisa mkuuWalaio pata Div 1 wanaenda wapi baadae? Hawa wa Zero wakikomaaa watakuja kuajiri wenzao wa Div 1
Wapi tena Mrembo wangu? 🥺🥺🥺😢Niokoe huku plzz
Watoto wa uswazi haoKuna diplomasia
Uhamiaji
Kurasini
ZIMEPAKANA HIZO
Watoto wanakula bangi kama chakula.
Mwalimu jichanganye wanakudunda... yaani hata class ukimshikia fimbo mwanafunzi wanakusaka nje ya shule wanakupiga hatari.
Ulizia walimu hapo
Kuna mmoja alimfata mwalimu akamwambia upo kwenye list kaa kwa kitulia usifatilie watu
.....nakaa maeneo ya karibu na hizo shule....
WATOTO NI WAHUNI KULIKO MAELEZO.
Tena nahisi hayo matokeo wamestandadaiz.halali halali hamna wa kupata 3 pale.na woote hao walimaliza la saba kwa ufaulu wa A$B
Mungu ana maguvu sana! Pia nafkiri hawa wanaopataga division four za 26-27 waangaliwe kwa jicho la tatu kabla hata hawajatoa hayo matokeo yao... wanaonesha wazi wana uwezo ila huenda sababu fulani fulani ziliwayumbisha. Hasa wale wenye points "26"Kuna mtu mmoja namjua alipata four zile za 26/27
Mzee wake akamfanyia mpango aende shule Fulani akaanza form 5 huku anarisiti form four Ili apate credit aruhusiwe kufanya Pepa la six
Akaja pata credit mwaka huu mwakani akapiga Pepa la six akakunja div 1.6
akaenda Chuo akapiga law akafumua sana. Yaani kama gari ilipigwa starter Sasa imepata Moto ngoma inayeeya!!
Akaenda Law school akamlamba uwakili
Saivi ni hakimu mkoa Fulani.
Inawezekana sana kuba watu sio kuwa hawana Akili Bali wanahitaji booster.
Mwengine
Alipata four ya 26 lakini alikuwa na credit zote akapiga five na six akatoka na div III enzi za mkwere akaenda Chuo kusoma bachelor ya uhasibu
Leo ana kazi na ana masters yake safi
Kwani diamond sio mtu, we ndo umeleta ujinga wa ajabu wabongo sisi tunaakili fupi kinomaUsiingize Ujinga kwenye Discussion zenye mantiki. Huyo Diamond wako ana secret zake zilizomfanya afike pale... usipende kudanganyika na kuhadaika na mafanikio ya watu usiowajua kiundani. Fikiri kama mwanaume mwenye akili timamu. Shauri yako!