Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,416
- 3,591
Ingetakiwa abayepata Div 4 asiruhusiwe kwenda chuoni, arudie (ku reseat) ili apate sifa za kwenda form 5 au chuo/Veta. Kumpeleka Div 4 chuoni ni kuzidi kuongeza tatizo.Kwahiyo mwenye "D" zote na "C" mbili atleast akapata division 4 ya point 26 ambayo anaweza kwenda chuo au kusoma kidato cha tano (5) huku ana-reseat ni sawa na wenye "F" zote?!we vipi?!
Division 0 maana yake ni Failure!.. ni kama la saba tu wala haesabiki kwenye kundi la waliosoma sekondari. (Huyu kapoteza muda tu..., yaan alienda kukua,kujifunza uhuni wa kijinga, kupata mademu, mabwana na kupata washkaji na kuvuta bange basi!)
Division 4 hana ufaulu wa kwenda kidato cha tano ila anaweza kusoma mambo mengine au kurudia shule na akafanya vizuri.
we vipi?!