Ni kama Ilivyo kwa Marian Girls ama St. Francis, wao huchukua wanafunzi 92 tu kwa mwaka kwa darasa moja, lenye mikondo miwili ya wanafunzi 46 kila mkondo. Hawana njaa. Sasa imagine, watoto karibia 4000 hufanyiwa usaili, na huchukuliwa wenye high performance 92, unadhani kuna kupata 0 hapo? St. Matthew ya mtoa mada naijua sana, mtoto wa kaka yangu niliemlea mwenyewe kamaliza pale 2014 A level, ni kweli wanafunzi ni wengia sana. Nyingi ya shule hizi za private huangalia quantity na si quality ya products zao.