Wanafunzi 875 warundikwa form IV 2015 St.Mathew Secondary

Wanafunzi 875 warundikwa form IV 2015 St.Mathew Secondary

Naona ni wivu wa kike unawasumbua mnaoponda hii shule.kama mnaona mazingira hamjayapenda kupeleja watoto wenu basi muwahamishe sio mnajitia wajuaji kuleta mada za kipuuzi uku.ivi mnajua kwamba anamiundo mbinu na walimu wa kutosha pale kuweka hata watoto 10000!!tuwe makini kabla ya kuanza kuchafua biashara za watu.tupo ktk dunia ya soko huria.hulazimishwi kupeleka watoto wako pale.hujashikiwa kisu.mimi nijuavyo ni moja kati ya shule bora hapa nchini.amini usiamini.hayo matatizo mengine yapo kila kona na yanataturika taratibu .

Kweli akili yako inafanana na "user name" yako!
Sikushangai kuona ukitokwa povu labda wewe ni miongoni mwa wale wafanyakazi wake hapo shuleni mnaolipwa sh. 100,000/= kwa mwezi. Hata kama ukikataa, hiyo ndiyo hali halisi ya shule za Mtembei.
Kwa mfano; Ujenzi sec ina wanafunzi zaidi ya 1200 lakini hakuna dispensary, maji ya kunywa yana chumvi, kunguni ndiyo usiseme (magodoro mawili ya wadogo zangu nilichoma moto walipokuja nayo home baada ya kumaliza f4). Kwa upande wa chakula wanafunzi hawapewi mboga za majani wala matunda. Miundombinu bora pale Ujenzi sec ni ipi? Ulishaona madarasa yao? Vyoo vyao je? Mabweni yao vipi? Acha akili zako hizo za ki-troojan la sivyo tutakuwekea anti-virus mkichwa!
 
Wew kama una hisa hapo shuleni usitake kutuziba midomo, hivi unajua tumeumia kiasi gani wazazi kwa uzembe wenu wa kujali pesa bila kutimiza wajibu wenu vizuri,

Eti anamiundo mbinu ya kuweza kuweka hata watoto 10,000 hivi sisi tunataka sehemu ya kuwekwa watoto wetu ama sehemu ya kufundishia wanetu.Tunaleta watoto mfundishe sio kuwarundika mabwenini na madarasani kwenu, unafundishaje watoto 875 kwa darasa moja la form 4, kila somo una wanawaalimu wangapi, hao waalimu wanafuatiliaje maendeleo ya watoto wetu. Usikute mwalimu huyo huyo wa somo moja ana vipindi hata kwa madarasa mengine kama form 1,2,3,4,5na 6.
Nyie mlistahili kushtakiwa kabisa mmetutia hasara kubwa na kuharibu future ya watoto wetu kwa tamaa yenu ya fedha.,Nchi nyingine nyie ni wa kufungiwa kabisa watoto 875 vipi wawe wote form 4 ?
Wew kama una hisa hapo shuleni usitake kutuziba midomo, hivi unajua tumeumia kiasi gani wazazi kwa uzembe wenu wa kujali pesa bila kutimiza wajibu wenu vizuri,

Eti anamiundo mbinu ya kuweza kuweka hata watoto 10,000 hivi sisi tunataka sehemu ya kuwekwa watoto wetu ama sehemu ya kufundishia wanetu.Tunaleta watoto mfundishe sio kuwarundika mabwenini na madarasani kwenu, unafundishaje watoto 875 kwa darasa moja la form 4, kila somo una wanawaalimu wangapi, hao waalimu wanafuatiliaje maendeleo ya watoto wetu. Usikute mwalimu huyo huyo wa somo moja ana vipindi hata kwa madarasa mengine kama form 1,2,3,4,5na 6.
Nyie mlistahili kushtakiwa kabisa mmetutia hasara kubwa na kuharibu future ya watoto wetu kwa tamaa yenu ya fedha.,Nchi nyingine nyie ni wa kufungiwa kabisa watoto 875 vipi wawe wote form 4 ?
Mkuu, ukifanya ubaya duniani malipo yanaanzia hapa hapa duniani. Huwezi kujua ni kwa nini Mtembei kapata stroke na ku-paralyse! Ana-meki pesa lakini hana furaha nayo!
 
Naona ni wivu wa kike unawasumbua mnaoponda hii shule.kama mnaona mazingira hamjayapenda kupeleja watoto wenu basi muwahamishe sio mnajitia wajuaji kuleta mada za kipuuzi uku.ivi mnajua kwamba anamiundo mbinu na walimu wa kutosha pale kuweka hata watoto 10000!!tuwe makini kabla ya kuanza kuchafua biashara za watu.tupo ktk dunia ya soko huria.hulazimishwi kupeleka watoto wako pale.hujashikiwa kisu.mimi nijuavyo ni moja kati ya shule bora hapa nchini.amini usiamini.hayo matatizo mengine yapo kila kona na yanataturika taratibu .

inaelekea wewe ulisoma ktk hizo shule na ukapata dvsn 1 ndiyo maana neno hivi kwako ni ivi na kutatulika linakuwa kutaturika. halafu mkuu wivu wa kike uko vipi? au wa kiume una ndevu?
 
Kitendo cha uongozi wa shule ya St.Matthew,s secondary school kuwarundika wanafunzi 875 kama wahitimu wa kidato cha nne 2015 kinafaa kulaaniwa kwa nguvu zote.

Mara nyingi wazazi tunawapeleka watoto wetu shule za bweni, na tunakuwa tuko radhi kuwalipia gharama kubwa tukitarajia uongozi wa shule pamoja na waalimu wa shule husika watawasimamia watoto wetu vizuri badala ya wazazi.

Hivi wanafunzi 875 unafuatiliaje maendeleo yao? na je hakuna kikomo kilicho wekwa na Wizara kwa hizi shule Binafsi kuwa na kikomo cha idadi ya wanafunzi wanaopaswa kuwanao kwa kila darasa? Watoto wakija likizo utaona ripoti inaonyesha darasa linawanafunzi 50 kumbe kawagawanya wototo katika madarasa 17 kwa watoto 875.

USHAURI:
Wazazi msipeleke watoto shule hii, angalieni ktk mtandao jinsi tulivyo lizwa Wazazi wenzenu ktk matokeo ya ya kidato cha nne 2015.
Bado sijaelewa. Kwani kuna streams ngapi? Yaani hao wanafunzi 875 wako kwenye vyumba vingapi? Chumba kimoja cha darasa kina wamafunzi wangapi? Hiyo shule ina walimu wangapi? Na vidato vingine vina streams ngapi ngapi? Naomba majibu sahihi ili niweze kutoa mchango kwa umakini.
 
Kweli akili yako inafanana na "user name" yako!
Sikushangai kuona ukitokwa povu labda wewe ni miongoni mwa wale wafanyakazi wake hapo shuleni mnaolipwa sh. 100,000/= kwa mwezi. Hata kama ukikataa, hiyo ndiyo hali halisi ya shule za Mtembei.
Kwa mfano; Ujenzi sec ina wanafunzi zaidi ya 1200 lakini hakuna dispensary, maji ya kunywa yana chumvi, kunguni ndiyo usiseme (magodoro mawili ya wadogo zangu nilichoma moto walipokuja nayo home baada ya kumaliza f4). Kwa upande wa chakula wanafunzi hawapewi mboga za majani wala matunda. Miundombinu bora pale Ujenzi sec ni ipi? Ulishaona madarasa yao? Vyoo vyao je? Mabweni yao vipi? Acha akili zako hizo za ki-troojan la sivyo tutakuwekea anti-virus mkichwa!
wewe inaonekana kama sio mshindani wa mtembei basi utakua umetumwa kufanya haya mambo kusudi kuchafua watu.sasa kwani umelazimishwa kupeleka watoto wako pale?yaan cjui nikuonaje.unalalamika lalamika kama mzazi alie kosa ada,nawasiwasi ada imekushinda ndio ukaone uje uongee pumba umu.pole sana wacha vijana wapate elimu waliobaki.wakwako rudisha za kata ni bure hutosumbuliwa
 
Kweli akili yako inafanana na "user name" yako!
Sikushangai kuona ukitokwa povu labda wewe ni miongoni mwa wale wafanyakazi wake hapo shuleni mnaolipwa sh. 100,000/= kwa mwezi. Hata kama ukikataa, hiyo ndiyo hali halisi ya shule za Mtembei.
Kwa mfano; Ujenzi sec ina wanafunzi zaidi ya 1200 lakini hakuna dispensary, maji ya kunywa yana chumvi, kunguni ndiyo usiseme (magodoro mawili ya wadogo zangu nilichoma moto walipokuja nayo home baada ya kumaliza f4). Kwa upande wa chakula wanafunzi hawapewi mboga za majani wala matunda. Miundombinu bora pale Ujenzi sec ni ipi? Ulishaona madarasa yao? Vyoo vyao je? Mabweni yao vipi? Acha akili zako hizo za ki-troojan la sivyo tutakuwekea anti-virus mkichwa!
wewe umekuja hapa kumshambulia mtembei na shule zake huna lolote.yaan unatia huruma.sema dizaini ndio kama unampromote utashangaa soon kafikisha wanafunzi buku,mambo mengine uwage unakaa kimyaa ili kuficha ujinga wako
 
Bado sijaelewa. Kwani kuna streams ngapi? Yaani hao wanafunzi 875 wako kwenye vyumba vingapi? Chumba kimoja cha darasa kina wamafunzi wangapi? Hiyo shule ina walimu wangapi? Na vidato vingine vina streams ngapi ngapi? Naomba majibu sahihi ili niweze kutoa mchango kwa umakini.
mkuu huyu mtoa mada huwezi kumuelewa maana kaja hapa na hasira kapost vitu anashambulia mtu na biashara zake,hana facts zaidi anambwayambwaya kupata huruma ya wenzake .cha ajabu io shule wanafunzi wanaongezeka kila mwaka tena wanasoma adi watoto wa vigogo.
 
Nlikua nataka nianze kumponda mleta Uzi ila hapa umenijibu nimenyamaza sasa. Maana nlikua najiuliza kama class wanakaa 45 au 50 na jumla wapo 800 na ushee lakin performance iko juu tatizo liko wapi? Kama performance ndio hii nimewaeleweni mkuu
Biashara pia ina miongozo yke,, huwezi kufanya biashara kiholela hivyo,,

Biashara hatuangalii Quantity tu bali pia tunazingatia na Quality ya product unayozalisha,, sasa watoto 875 kati ya hao watoto 360 wote ni Div. 1V hapo hujagusia Div 0.
 
Kama walimu wapo wakutosha kwa kila mkondo na hakuna msongamano ktk malazi tatizo lipo wapi?
Ndiyo maana nikauliza. Ebu mleta post aeleze kila mkondo una wanafunzi wangapi. Vilevile aseme kama kuna scarcity ya walimu. Lakini pia azungumzie ukubwa wa mabweni na idadi ya wanafunzi wanaolala humo ndipo tutajua kama tunashauri vipi. Asisahau kutipa performance ya shule kwa miaka 3 mfululizo.
 
Nlikua nataka nianze kumponda mleta Uzi ila hapa umenijibu nimenyamaza sasa. Maana nlikua najiuliza kama class wanakaa 45 au 50 na jumla wapo 800 na ushee lakin performance iko juu tatizo liko wapi? Kama performance ndio hii nimewaeleweni mkuu
hapo ndio utaziona chuki binafsi za mtoa mada,yaan kuna kitu huyu anatafuta..alafu kajichanganya mwenyewe kua wanakaa 51 darasani!!sasa idadi ya wanafunzi 51 darasani inashida gani??wakati alimaliza shule waliyokua wanakaa150 class!!!vitu vingine adi vinakela
 
Kweli akili yako inafanana na "user name" yako!
Sikushangai kuona ukitokwa povu labda wewe ni miongoni mwa wale wafanyakazi wake hapo shuleni mnaolipwa sh. 100,000/= kwa mwezi. Hata kama ukikataa, hiyo ndiyo hali halisi ya shule za Mtembei.
Kwa mfano; Ujenzi sec ina wanafunzi zaidi ya 1200 lakini hakuna dispensary, maji ya kunywa yana chumvi, kunguni ndiyo usiseme (magodoro mawili ya wadogo zangu nilichoma moto walipokuja nayo home baada ya kumaliza f4). Kwa upande wa chakula wanafunzi hawapewi mboga za majani wala matunda. Miundombinu bora pale Ujenzi sec ni ipi? Ulishaona madarasa yao? Vyoo vyao je? Mabweni yao vipi? Acha akili zako hizo za ki-troojan la sivyo tutakuwekea anti-virus mkichwa!

Hajielewi. Huyo usikute ana undugu na mmiliki wa hizo shule, wenzake tunauchungu wa fedha walizo tuibia yeye analeta habari zake za ushoga humu.
 
Ndiyo maana nikauliza. Ebu mleta post aeleze kila mkondo una wanafunzi wangapi. Vilevile aseme kama kuna scarcity ya walimu. Lakini pia azungumzie ukubwa wa mabweni na idadi ya wanafunzi wanaolala humo ndipo tutajua kama tunashauri vipi. Asisahau kutipa performance ya shule kwa miaka 3 mfululizo.

Tunacho angalia ni perfimance ya matokeo ya F4 last year(2015) hebu ingia Necta angalia matokeo ya hili shule,, nenda kaangalie na idadi ya watihaniwa,,
Hicho ndicho kipimo cha ubora wa Elimu,, malazi,, na chakula wanachopata wanafunzi ktk shule,,
Kwa matokeo ya mwaka jna kwa ujumla Perfomance ya hivyo vyooote kwa shule hii ni poor. Kama alivyosema mwingine hapo juu,, mabweni ya shule hii ni Industry ya Kunguni.
 
Tunacho angalia ni perfimance ya matokeo ya F4 last year(2015) hebu ingia Necta angalia matokeo ya hili shule,, nenda kaangalie na idadi ya watihaniwa,,
Hicho ndicho kipimo cha ubora wa Elimu,, malazi,, na chakula wanachopata wanafunzi ktk shule,,
Kwa matokeo ya mwaka jna kwa ujumla Perfomance ya hivyo vyooote kwa shule hii ni poor. Kama alivyosema mwingine hapo juu,, mabweni ya shule hii ni Industry ya Kunguni.
Watoto wenu ndio wachafu .pelekeni basi shule mnazoziona bora sio mnapiga kelele tu.ni vizuri ungetuletea hayo matokeo tukayapima na sio kuja hapa kulopoka ujinga.ivi wabongo mtaishiwa lini na wivu wa kike???
 
Mmelizwa au watoto wenu ndio wenye vichwa vigumu? Mtoto viduku vyote na bongo flava plus niger anajua steps ila kukariri periodic table of elements hawezi. Acheni kulaumu shule au waalimu kwa majanga mliotengeneza Wenyewe. Kumbuka shule inaendeleza pale ulipoanzia kwenye malezi yako
 
Mimi naona humu kuna walimu wa st.mathew wanaichafua shule kama sio wamezinguana na mtembei basi wametimuliwa kazi.ni hivi mimi nimesoma pale kuanzia form 1 hadi form 4 mwaka 2006 na tulikuwa wengi tuu.walimu wapo wengi na wanafundisha vizuri kila darasa tulikuwa 46 na mikondo ilikuwa kama saba au nane so kila mwaka kadri wanafunzi wanavyoongezeka mikondo nayo inaongezwa.hapa naona kuna majungu yanatoka ndani ya shule inaonekana mtembei ametofautiana na kati ya wafanyakazi wake.
 
Habari haijakamilika!
Ulipaswa kueleza pia idadi ya madarasa ikionyesha mrundikano wa wanafunzi Kwenye darasa moja , waalimu wa kila somo nk. But idadi kubwa peke yake haiwezi kua TATIZO iwapo ana madarasa ya kutosha na waalimu kwa uwiano unaokubalika.
 
Mimi naona humu kuna walimu wa st.mathew wanaichafua shule kama sio wamezinguana na mtembei basi wametimuliwa kazi.ni hivi mimi nimesoma pale kuanzia form 1 hadi form 4 mwaka 2006 na tulikuwa wengi tuu.walimu wapo wengi na wanafundisha vizuri kila darasa tulikuwa 46 na mikondo ilikuwa kama saba au nane so kila mwaka kadri wanafunzi wanavyoongezeka mikondo nayo inaongezwa.hapa naona kuna majungu yanatoka ndani ya shule inaonekana mtembei ametofautiana na kati ya wafanyakazi wake.

Kama ulitoka pale 2006 basi hali uliyo iacha pale siyi hiyo tena,, sasa hivi Mabweni yamegeuzwa kuwa hifadhi ya taifa ya Kunguni ,
Kuhusu mlundikano wa wanafunzi sasa hivi siyo 46 tena na wala siyo mikondo saba tena,,
Hebu chukua watoto 875 alafu gawanya kwa 46 Utapata mikondo mingapi,,
Alafu jiulize je waalimu mfano wa kila somo watakuwa wangapi,, alafu fikiria kila mwalimu atafuatilia maendeleo ya wanafunzi wangapi,,
Pia kumbuka mwalimu huyo huyo atakuwa na kipindi ktk madarasa mengine kama form1,2,3,pengine hata 5na 6.
Hakuna mwenye kumwonea wivu mmiliki wa shule hii bali apunguze tamaa,, zamani ilikuwa shule nzr sn na ilitushawishi kupeleka watt wetu pale. Lakini kwa sasa hata unitishie kunichoma sindano ya sumu sikubali kupeleka mtoto wng au wa ndg yangu hata rafiki yngu pia siwezi kumwacha bila kumshauri apeleke mwanae pale.
 
Habari haijakamilika!
Ulipaswa kueleza pia idadi ya madarasa ikionyesha mrundikano wa wanafunzi Kwenye darasa moja , waalimu wa kila somo nk. But idadi kubwa peke yake haiwezi kua TATIZO iwapo ana madarasa ya kutosha na waalimu kwa uwiano unaokubalika.
Wastani mzr wa wanafunzi darasani hauzidi wanafunzi 40 tena kwa mikondo 2 kwa kila darasa hapa tunazungumzia idadi ya wanafunzi 80,,
Ikizidi saaana ni 100 kwa 50 kila darasa.
Sasa wew chukua watoto 875 fanya idadi ya 40 utapata mikondo mingapi,,kwa hii f4 ya 2015.
Alafu jiulize anao waalimu wangapi kwa kila somo kutoshereza hiyo mikondo yote kwa darasa hilo moja tu,,
 
Back
Top Bottom