Wanafunzi 875 warundikwa form IV 2015 St.Mathew Secondary

Wanafunzi 875 warundikwa form IV 2015 St.Mathew Secondary

Kama ulitoka pale 2006 basi hali uliyo iacha pale siyi hiyo tena,, sasa hivi Mabweni yamegeuzwa kuwa hifadhi ya taifa ya Kunguni ,
Kuhusu mlundikano wa wanafunzi sasa hivi siyo 46 tena na wala siyo mikondo saba tena,,
Hebu chukua watoto 875 alafu gawanya kwa 46 Utapata mikondo mingapi,,
Alafu jiulize je waalimu mfano wa kila somo watakuwa wangapi,, alafu fikiria kila mwalimu atafuatilia maendeleo ya wanafunzi wangapi,,
Pia kumbuka mwalimu huyo huyo atakuwa na kipindi ktk madarasa mengine kama form1,2,3,pengine hata 5na 6.
Hakuna mwenye kumwonea wivu mmiliki wa shule hii bali apunguze tamaa,, zamani ilikuwa shule nzr sn na ilitushawishi kupeleka watt wetu pale. Lakini kwa sasa hata unitishie kunichoma sindano ya sumu sikubali kupeleka mtoto wng au wa ndg yangu hata rafiki yngu pia siwezi kumwacha bila kumshauri apeleke mwanae pale.
Sawa kiongozi ngoja niwasiliane na mwl medady na shafuri waniambie ukwelii wa pale manaake mwaka jana nilipita pale niliona hali shwari may be niliona kwa nje tuu.lisemwalo lipo kama halipo basi linakujaa
 
Kama darasa moja lina wanafunzi 875 kwa vyovyote ni ngumu kupata elimu bora kwa namna yeyote ile hata kama waalimu ni zaidi ya 500, na ili uamini hilo angalia shule zote zinavyofanya vizur kama zina idadi kubwa ya wanafunzi! Nina hakika hata nidhamu a wanafunzi itakuwa mbovu sana ! Najua mmiliki wa shule analipa vizur na anatoa insentives kwa waalimu sana na waalimu wengi wa pale wanamaisha mazuri sana labda kwa mwalimu mzembe sana na niseme ukweli natamani kufanya kazi pale japo kwa sasa nipo katika shule bora sana japo sitataka kuitaja hapa!! Namlaumu sana tena sana mtoa mada, ni kati ya wazaz wazembe sana wasiofuatilia maendeleo ya watoto wanasubiri hadi siku ya mwisho matokeo ndio waanze kuuliza na kulalamika, hili liwe fundisho kwa wazaz wote ni muhimu kufuatilia maendeleo ya mtoto kila hatua. Mtoa mada tambua kuwa elimu ni biashara ndio maana watu wanajitangaza kwa mabango na maredioni, inahitaji roho ngumu sana kwa mwenyeshule kukataa wateja!! Hiyo inawezekana kwa shule za mashirika kama Canosa, feza, st Fransis , et all.

Duc In Altum.
 
Bado sijaelewa. Kwani kuna streams ngapi? Yaani hao wanafunzi 875 wako kwenye vyumba vingapi? Chumba kimoja cha darasa kina wamafunzi wangapi? Hiyo shule ina walimu wangapi? Na vidato vingine vina streams ngapi ngapi? Naomba majibu sahihi ili niweze kutoa mchango kwa umakini.

Idadi ya wahitimu ilikuwa 875 sasa ukigawa kwa standard ya watoto 40 kwa kila Chumba unapata karibu vyumba 20 hivyo ni kwa f4 tu.
Sasa tafuta waalimu wa kila somo watakuwa wangapi kwa hivyo vyumba 20 vya f4.
Alafu chukulia mwalimu huyo pia atakuwa na vipindi ktk madarasa mengine kama form 1,2,3,5na6.
 
wewe inaonekana kama sio mshindani wa mtembei basi utakua umetumwa kufanya haya mambo kusudi kuchafua watu.sasa kwani umelazimishwa kupeleka watoto wako pale?yaan cjui nikuonaje.unalalamika lalamika kama mzazi alie kosa ada,nawasiwasi ada imekushinda ndio ukaone uje uongee pumba umu.pole sana wacha vijana wapate elimu waliobaki.wakwako rudisha za kata ni bure hutosumbuliwa
Kwa taarifa yako wadogo zangu watatu wamemaliza Ujenzi sec na sikusumbua kulipa ada zao. I sponsored them fully myself! Nakushangaa sana unavyotaka kufunga watu midomo wasiseme ukweli. Tangu headmaster akiwa Shafuri (Ujenzi SS) yote haya tulikuwa tunazungumza lakini hatua zilikuwa hazichukuliwi! Sijui wewe ni nani na unalipwa sh. ngapi? Wewe utakuwa nshomile uliyeko hapo shuleni kwa kubebwa. Nasikia mojawapo ya swali kwenye interview ya wafanyakazi, unaulizwa "wagambaki"?
Wewe ni bure kabisa!
 
Idadi ya wahitimu ilikuwa 875 sasa ukigawa kwa standard ya watoto 40 kwa kila Chumba unapata karibu vyumba 20 hivyo ni kwa f4 tu.
Sasa tafuta waalimu wa kila somo watakuwa wangapi kwa hivyo vyumba 20 vya f4.
Alafu chukulia mwalimu huyo pia atakuwa na vipindi ktk madarasa mengine kama form 1,2,3,5na6.
Mwalimu ana vipindi.vingapi kwa wiki. Inawezekana zikawepo streams nyingi lakini wakawepo walimu wengi pia. What matters ni idadi ya vipindi. Vioindi vya lugha na hesabu huwa vinakuwa vingi. Na ndiyo maana unaweza kukuta walimu tofauti 5 wanafundisha f4 English.
 
K
Kwa taarifa yako wadogo zangu watatu wamemaliza Ujenzi sec na sikusumbua kulipa ada zao. I sponsored them fully myself! Nakushangaa sana unavyotaka kufunga watu midomo wasiseme ukweli. Tangu headmaster akiwa Shafuri (Ujenzi SS) yote haya tulikuwa tunazungumza lakini hatua zilikuwa hazichukuliwi! Sijui wewe ni nani na unalipwa sh. ngapi? Wewe utakuwa nshomile uliyeko hapo shuleni kwa kubebwa. Nasikia mojawapo ya swali kwenye interview ya wafanyakazi, unaulizwa "wagambaki"?
Wewe ni bure kabisa!
kwann hukuwahamisha sasa kama uliona kuna matatizo?
 
Eti kwann hukuwahamisha,, wew mumeo mbona hakukataa Ada zetu,, kwani kuna sku umewahi kututangazia kuwa una madarasa 20 ya f4 tu kwa 2015?

Mlivyo wazoefu wa kuiba fedha za wazazi utaona ripoti inaonyesha wanafunzi ni 50_60 ,kumbe mna watoto 875 kwani ripoti zenu mngekuwa wazi kuwa mna tueleza kuwa hapo mnakitongoji cha wanafunzi 875 kwa f4 unadhani kuna mzazi angeacha mwanae hapo,,

Darasa moja linazidi wakazi wa kijiji cha ,,KATERERO,,hiyo gani.
 
Eti kwann hukuwahamisha,, wew mumeo mbona hakukataa Ada zetu,, kwani kuna sku umewahi kututangazia kuwa una madarasa 20 ya f4 tu kwa 2015?

Mlivyo wazoefu wa kuiba fedha za wazazi utaona ripoti inaonyesha wanafunzi ni 50_60 ,kumbe mna watoto 875 kwani ripoti zenu mngekuwa wazi kuwa mna tueleza kuwa hapo mnakitongoji cha wanafunzi 875 kwa f4 unadhani kuna mzazi angeacha mwanae hapo,,

Darasa moja linazidi wakazi wa kijiji cha ,,KATERERO,,hiyo gani.
Wewe ni jipu na wala hujielewi.kuna kitu kinakusumbua kama mdau hapo juu alivyosema either utakua mwalimu aliefukuzwa kazi au mwanafunzi uliefukuzwa shule.mtu mwenye akili hawezi kukuelewa unaongea nini.simple advice ni ficha hasirabzako na visasi na mwisho ficha ujinga wako.
 
Eti kwann hukuwahamisha,, wew mumeo mbona hakukataa Ada zetu,, kwani kuna sku umewahi kututangazia kuwa una madarasa 20 ya f4 tu kwa 2015?

Mlivyo wazoefu wa kuiba fedha za wazazi utaona ripoti inaonyesha wanafunzi ni 50_60 ,kumbe mna watoto 875 kwani ripoti zenu mngekuwa wazi kuwa mna tueleza kuwa hapo mnakitongoji cha wanafunzi 875 kwa f4 unadhani kuna mzazi angeacha mwanae hapo,,

Darasa moja linazidi wakazi wa kijiji cha ,,KATERERO,,hiyo gani.
Hautakiwi kusubir kutangaziwa wewe ndo unayenunua huduma ulitakiwa kupata information za kutosha lakin umeamua kuonyesha jamii kuwa ulikuwa hufuatilii maendeleo ya mtoto wako. Pesa ni yako alikua hachukui mfukon kwako kama huridhiki next time take action sio unakuja kulalamika jf. Polee though najua atakua na zero yake saafiiii.
 
Ukisoma hii shule hamna kufail mwenye jicho la tatu ameelewa.
 
Idadi ya walimu ikoje?

Idadi ya mikondo siyo hoja cha msingi ni uwiano kati ya idadi ya wanafunzi na walimu na mgawanyo wa mikondo kwa walimu.

Mathalani mwalimu mmoja wa Maths form four anaweza kuwa anafundisha mikondo mitatu tu kati ya mikondo yote so ufanisi uko palepale tu regardless ya idadi ya mikondo.

So kama dogo kataga yawezekana ni mambo mengine tu maanake waliofaulu wapo.

BTW:Kwani ada mnalipa kiasi gani kwa mwaka?
Wazazi lazima muwe karibu sana kufuatilia maendeleo ya wanenu shuleni tokea mwanzo na ukigundua magumashi unafanya maamuzi maanake hata hao wakaguzi wanahongeka tu.
 
Idadi ya wahitimu ilikuwa 875 sasa ukigawa kwa standard ya watoto 40 kwa kila Chumba unapata karibu vyumba 20 hivyo ni kwa f4 tu.
Sasa tafuta waalimu wa kila somo watakuwa wangapi kwa hivyo vyumba 20 vya f4.
Alafu chukulia mwalimu huyo pia atakuwa na vipindi ktk madarasa mengine kama form 1,2,3,5na6.

Majengo ya ile Shule yako Kwenye eneo la eka 10 , mi ninavyoona hata hao wanafunzi 875 Ni wachache kulingana na wingi wa Majengo .
 
Majengo ya ile Shule yako Kwenye eneo la eka 10 , mi ninavyoona hata hao wanafunzi 875 Ni wachache kulingana na wingi wa Majengo .

Zidisha 875 kwa madarasa manne!!! Hata eka ishirini haziwez ku accomodate labda kama ni shule ya Day!! Hapo unatakiwa kuwa na viwanja vya michezo vingapi? Dining hall ngapi na wa ukubwa gani? Madarasa zaidi ya 60!!! Ofice!! Mabweni!! Sehemu za waz za kujisomea!!!

Duc In Altum.
 
Sioni tatizo Shule ya binafsi kuwa na watoto wengi Shule zipo nyingi na wewe kuna kilichokuvutia vumilia na fuatilia maendeleo mara kwa Mara
 
Back
Top Bottom