BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,119
Matokeo ya Mitihani ya Upimaji Kitaifa kwa Wanafunzi wa Darasa la 4 na Kidato cha Pili iliyofanyika Oktoba na Novemba 2023 yameonesha Wanafunzi 147,837 (8.73%) wa Darasa la 4 hawakufanya Mtihani wa Upimaji ambapo Wasichana ni 60,835 (7.04%) na Wavulana ni 87,002 (10.50%).
Pia, Wanafunzi 257,396 sawa na (16.66%) wamefeli kuendelea na Darasa la Tano baada ya kupata Daraja E. Wavulana ni 135,142 (18.22%) na Wasichana ni 122,154 (15.21%).
Aidha, Wanafunzi 64,160 wa Kidato cha Pili sawa na (8.44%) hawakufanya Mtihani ambapo kati yao Wasichana ni 28,951 (7.13%) na Wavulana 35,209 (9.95%).
Waliopata Daraja 0 ni 102,028 sawa na (14.69%) ambapo Wavulana ni 40,498 (12.72%) na Wasichana ni 61,530 (16.34%). Ufaulu kwa Darasa la 4 ni 0.39% na Kidato cha Pili ni 0.62%.
Pia, Wanafunzi 257,396 sawa na (16.66%) wamefeli kuendelea na Darasa la Tano baada ya kupata Daraja E. Wavulana ni 135,142 (18.22%) na Wasichana ni 122,154 (15.21%).
Aidha, Wanafunzi 64,160 wa Kidato cha Pili sawa na (8.44%) hawakufanya Mtihani ambapo kati yao Wasichana ni 28,951 (7.13%) na Wavulana 35,209 (9.95%).
Waliopata Daraja 0 ni 102,028 sawa na (14.69%) ambapo Wavulana ni 40,498 (12.72%) na Wasichana ni 61,530 (16.34%). Ufaulu kwa Darasa la 4 ni 0.39% na Kidato cha Pili ni 0.62%.