Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,916
Lakini si pekee aliyekufa kwa ajalimazingira gani? chacha wangwe si alipata ajali tena alikuwa mbunge kabisa
Lakini si pekee aliyekufa kwa ajalimazingira gani? chacha wangwe si alipata ajali tena alikuwa mbunge kabisa
Komba mnara wake uko Dar au Mbinga?mazingira gani? chacha wangwe si alipata ajali tena alikuwa mbunge kabisa
Huyu atakuwa hana mtoto/watoto,sio kosa lake tumsamehe tu.Maana wazo lake hata mimi limenishangaza.
Ccm mlijenga wa Filikunjombe?CHADEMA bana..wamemjengea mnara Mawaz lakini Chacha Wangwe hawakumjengea
Wazo zuri..... lambilambi = rambirambi.Watu mnajitolea mapendekezo tu, lambilambi mnakwepa
Kuna watano wamepona, na mmoja wamemhoji nasikilza Magic fm taarifa saa moja kasema chanzo ni dereva kushindwa kukata kona. Walikuwa 38! Hatari!mshana jr wameongezeka? Mungu wangu,wale majeruhi wamefariki? Kuna aliyebaki hai? Kilio tu
Wengine wanalia uchungu wa kupoteza wapendwa wao wengine wanawaza minara....
CCM bana, walimjengea Mnara Sokoine ila Rashid Mfaume KAWAWA wala Samwel SITTA hawakumjengea.CHADEMA bana..wamemjengea mnara Mawaz lakini Chacha Wangwe hawakumjengea
Rambi rambi sio lambi lambiWatu mnajitolea mapendekezo tu, lambilambi mnakwepa
Hivi jumla kwenye gari walikuwa watoto wangapi?Habari za alfajiri hii wamefikia 35
Uko vizuri sana. Hili wazazi wengi hawatalikubali hata chembe.
Huyu atakuwa hana mtoto/watoto,sio kosa lake tumsamehe tu.Maana wazo lake hata mimi limenishangaza.
Kwanini usimjengee wewe, chacha wangwe?CHADEMA bana..wamemjengea mnara Mawaz lakini Chacha Wangwe hawakumjengea