Rais Samia Kuwaongoza viongozi na watanzania katika Ibada maalumu ya kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,311
9,740
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge atawaongoza viongozi mbalimbali pamoja na watanzania katika ibada maalumu ya kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine itakayofanyika Tarehe 12-4-2024,siku ambayo ndiyo alipofariki Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea pale Mkoani Morogoro.

Ajali hiyo inasemekana kuna gari liligonga gari alilokuwepo kiongozi huyo na kupelekea kifo chake.japo haieleweki na ni kitendawili juu ya vipi na namna gani gari hilo lilipata nafasi ya kuingilia msafara wa waziri Mkuu na kupata mpaka nafasi ya kulifikia gari lililombeba waziri mkuu anayekuwa na msafara wa kutosha na ulinzi wa kutosha huku gari za ving'ora zikiwa mbele.lakini pia haileweki ni vipi gari hilo liliweza kuachwa mpaka linapelekea kwenda kugonga gari la waziri Mkuu ambaye gari zake zinakuwa katika mwendo wa kasi na kwa kufuatana karibu karibu. Ok hili tuliache tu maana hata mimi sina majibu na nilikuwa sijazaliwa.kikubwa tumuombee wazirii mkuu wetu ili Mungu aendelee kumuangazia mwanga wa milele.

Hivyo katika kumkumbuka ya kumkumbuka familia imeandaa ibada maalumu ya kumkumbuka itakayofanyika kijijini kwake Enguik Monduli juu wilayani Monduli. Hayo yameelezwa na msemaji wa familia ndugu Lembris Kipuyo. Ambapo amesema katika siku hiyo mambo mbalimbali yataelezwa hasa yale ambayo aliyafanya hayati wakati wa uhai wake kwa Taifa letu. Lakini pia kuna Taasisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine ambayo imejikita katika kilimo,afya,vyanzo vya maji,hifadhi ya mazingira pamoja na elimu ambayo imeanzishwa.

Amesema Hayati Edward Moringe Sokoine atakumbukwa sana kwa mchango wake hasa katika Secta ya kilimo na mifugo ambayo pia ilichochea kuanzishwa kwa chuo cha kilimo Sokoine ,katika juhudi za kuhakikisha kuwa wataalumu wa kutosha wa kilimo wanazalishwa ili kufanikisha na kuhakikisha Taifa lina kuwa na chakula cha uhakika.

Hayati Edward Moringe Sokoine alizaliwa mwaka 1934 Agosti 1mkoani Arusha wilaya ya Monduli.ambayo mpaka sasa imetoa mawaziri wakuu wawili ambao wote wametangulia mbele za haki.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
 
Ni nani alimuua Sokoine? Miaka 40 sasa mtupe majibu
Nani akupe majibu ndugu yangu. Mungu ndiye mwenye Majibu yote maana yeye huona hata vya sirini na gizani . lakini mwisho wa yote atavileta vyote vya sirini katika mwanga na peupe kabisa. Na jibu linabakia kuwa moja tu kuwa alifariki kwa ajali ya gari iliyotokea mkoani Morogoro.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge atawaongoza viongozi mbalimbali pamoja na watanzania katika ibada maalumu ya kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine itakayofanyika Tarehe 12-4-2024,siku ambayo ndiyo alipofariki Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea pale Mkoani Morogoro.

Ajali hiyo inasemekana kuna gari liligonga gari alilokuwepo kiongozi huyo na kupelekea kifo chake.japo haieleweki na ni kitendawili juu ya vipi na namna gani gari hilo lilipata nafasi ya kuingilia msafara wa waziri Mkuu na kupata mpaka nafasi ya kulifikia gari lililombeba waziri mkuu anayekuwa na msafara wa kutosha na ulinzi wa kutosha huku gari za ving'ora zikiwa mbele.lakini pia haileweki ni vipi gari hilo liliweza kuachwa mpaka linapelekea kwenda kugonga gari la waziri Mkuu ambaye gari zake zinakuwa katika mwendo wa kasi na kwa kufuatana karibu karibu. Ok hili tuliache tu maana hata mimi sina majibu na nilikuwa sijazaliwa.kikubwa tumuombee wazirii mkuu wetu ili Mungu aendelee kumuangazia mwanga wa milele.

Hivyo katika kumkumbuka ya kumkumbuka familia imeandaa ibada maalumu ya kumkumbuka itakayofanyika kijijini kwake Enguik Monduli juu wilayani Monduli. Hayo yameelezwa na msemaji wa familia ndugu Lembris Kipuyo. Ambapo amesema katika siku hiyo mambo mbalimbali yataelezwa hasa yale ambayo aliyafanya hayati wakati wa uhai wake kwa Taifa letu. Lakini pia kuna Taasisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine ambayo imejikita katika kilimo,afya,vyanzo vya maji,hifadhi ya mazingira pamoja na elimu ambayo imeanzishwa.

Amesema Hayati Edward Moringe Sokoine atakumbukwa sana kwa mchango wake hasa katika Secta ya kilimo na mifugo ambayo pia ilichochea kuanzishwa kwa chuo cha kilimo Sokoine ,katika juhudi za kuhakikisha kuwa wataalumu wa kutosha wa kilimo wanazalishwa ili kufanikisha na kuhakikisha Taifa lina kuwa na chakula cha uhakika.

Hayati Edward Moringe Sokoine alizaliwa mwaka 1934 Agosti 1mkoani Arusha wilaya ya Monduli.ambayo mpaka sasa imetoa mawaziri wakuu wawili ambao wote wametangulia mbele za haki.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Uyu mwamba nasikia story Kwamba alikufa na pea moja ya viatu je hili ni Kweli?

Kama ni Kweli kama asingetangulia mbele ya haki na angechukua urais basi Tanzania tungekua mbali sana

Nasikia alikua na NAFASI kubwa sana ya kuchukua nafasi ya urais kwa wakati huo but I am not sure ni story 😂
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge atawaongoza viongozi mbalimbali pamoja na watanzania katika ibada maalumu ya kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine itakayofanyika Tarehe 12-4-2024,siku ambayo ndiyo alipofariki Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea pale Mkoani Morogoro.

Ajali hiyo inasemekana kuna gari liligonga gari alilokuwepo kiongozi huyo na kupelekea kifo chake.japo haieleweki na ni kitendawili juu ya vipi na namna gani gari hilo lilipata nafasi ya kuingilia msafara wa waziri Mkuu na kupata mpaka nafasi ya kulifikia gari lililombeba waziri mkuu anayekuwa na msafara wa kutosha na ulinzi wa kutosha huku gari za ving'ora zikiwa mbele.lakini pia haileweki ni vipi gari hilo liliweza kuachwa mpaka linapelekea kwenda kugonga gari la waziri Mkuu ambaye gari zake zinakuwa katika mwendo wa kasi na kwa kufuatana karibu karibu. Ok hili tuliache tu maana hata mimi sina majibu na nilikuwa sijazaliwa.kikubwa tumuombee wazirii mkuu wetu ili Mungu aendelee kumuangazia mwanga wa milele.

Hivyo katika kumkumbuka ya kumkumbuka familia imeandaa ibada maalumu ya kumkumbuka itakayofanyika kijijini kwake Enguik Monduli juu wilayani Monduli. Hayo yameelezwa na msemaji wa familia ndugu Lembris Kipuyo. Ambapo amesema katika siku hiyo mambo mbalimbali yataelezwa hasa yale ambayo aliyafanya hayati wakati wa uhai wake kwa Taifa letu. Lakini pia kuna Taasisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine ambayo imejikita katika kilimo,afya,vyanzo vya maji,hifadhi ya mazingira pamoja na elimu ambayo imeanzishwa.

Amesema Hayati Edward Moringe Sokoine atakumbukwa sana kwa mchango wake hasa katika Secta ya kilimo na mifugo ambayo pia ilichochea kuanzishwa kwa chuo cha kilimo Sokoine ,katika juhudi za kuhakikisha kuwa wataalumu wa kutosha wa kilimo wanazalishwa ili kufanikisha na kuhakikisha Taifa lina kuwa na chakula cha uhakika.

Hayati Edward Moringe Sokoine alizaliwa mwaka 1934 Agosti 1mkoani Arusha wilaya ya Monduli.ambayo mpaka sasa imetoa mawaziri wakuu wawili ambao wote wametangulia mbele za haki.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Dkt Samia anachukiwa sana na wamasai tena anachukiwa sana. Sababu zipo nyingi ila mojawapo ni uvamizi wa ardhi huko kunako na kuna mkuu wa wilaya mmoja ni kada huwa anawatukana kwa jina la Dkt Samia na kujigamba katumwa na Dkt Samia eti kuwanyoosha wamasai. Pili unyang’anyi wa mifugo na kuwafukuza maeneo yao kama mbwa koko. Kwa ufupi Dkt Samia anachukiwa mno mno kwa sababu ya wataule machawa wanaopata teuzi kwa rushwa ya kuhonga mifumo na kuiba kurejesha hela za hongo hivyo hawana uchungu kabisa na Rais Dkt Samia ila yeye hajui kabisa vetting za rushwa anachomekewa bila kujua anataua kumbe vijeba wanaenda kurudisha hela zao wanaibaaaaa kunyanyasa wananchi na wanajua hawawezi fukuzwa kwa sababu wanaopendekeza wafukuzwe wanapozwa hivyo kila file la kufukuzwa lina dau kubwa la hela aisee unafukuzwa lete mshiko tukutetee kwa mama etc, mambo menvi ya ovyo ovyo ovyo mama anachomekewa unakuta mkurugezi mfano mmojawapo kanda ya ziwa alipelekewa special audit na akagubdulika fisadi na ushahidi mweka hazina wake alifukuzwa ila hongo ikamuengua ila leo yupo hahahahaha ila hii nchi basi acha tu
 
Uyu mwamba nasikia story Kwamba alikufa na pea moja ya viatu je hili ni Kweli?

Kama ni Kweli kama asingetangulia mbele ya haki na angechukua urais basi Tanzania tungekua mbali sana

Nasikia alikua na NAFASI kubwa sana ya kuchukua nafasi ya urais kwa wakati huo but I am not sure ni story
Nilikua darasa la sita, wasifu wake nyumba mbili Monduli Juu kwa mkopo wa benki ya Nyumba (THB), viatu pear 2, Land Rover 1
 
Paragraph yako ya kwanza na ya mwisho ni ushuzi wako unaonuka mpaka unakera wavuta hewa wote waliopo juu ya nchi
 
Huyu ndio kiongozi aliyekuwa mzalendo kama Nyerere!
Viongozi wa sasa wa CCM walio wasafi sidhani kama hata 3 wanaweza kufika!
 
Dkt Samia anachukiwa sana na wamasai tena anachukiwa sana. Sababu zipo nyingi ila mojawapo ni uvamizi wa ardhi huko kunako na kuna mkuu wa wilaya mmoja ni kada huwa anawatukana kwa jina la Dkt Samia na kujigamba katumwa na Dkt Samia eti kuwanyoosha wamasai. Pili unyang’anyi wa mifugo na kuwafukuza maeneo yao kama mbwa koko. Kwa ufupi Dkt Samia anachukiwa mno mno kwa sababu ya wataule machawa wanaopata teuzi kwa rushwa ya kuhonga mifumo na kuiba kurejesha hela za hongo hivyo hawana uchungu kabisa na Rais Dkt Samia ila yeye hajui kabisa vetting za rushwa anachomekewa bila kujua anataua kumbe vijeba wanaenda kurudisha hela zao wanaibaaaaa kunyanyasa wananchi na wanajua hawawezi fukuzwa kwa sababu wanaopendekeza wafukuzwe wanapozwa hivyo kila file la kufukuzwa lina dau kubwa la hela aisee unafukuzwa lete mshiko tukutetee kwa mama etc, mambo menvi ya ovyo ovyo ovyo mama anachomekewa unakuta mkurugezi mfano mmojawapo kanda ya ziwa alipelekewa special audit na akagubdulika fisadi na ushahidi mweka hazina wake alifukuzwa ila hongo ikamuengua ila leo yupo hahahahaha ila hii nchi basi acha tu
Naona umeandika uzushi na uongo mtupu wa kutungwa .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge atawaongoza viongozi mbalimbali pamoja na watanzania katika ibada maalumu ya kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine itakayofanyika Tarehe 12-4-2024,siku ambayo ndiyo alipofariki Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea pale Mkoani Morogoro.

Ajali hiyo inasemekana kuna gari liligonga gari alilokuwepo kiongozi huyo na kupelekea kifo chake.japo haieleweki na ni kitendawili juu ya vipi na namna gani gari hilo lilipata nafasi ya kuingilia msafara wa waziri Mkuu na kupata mpaka nafasi ya kulifikia gari lililombeba waziri mkuu anayekuwa na msafara wa kutosha na ulinzi wa kutosha huku gari za ving'ora zikiwa mbele.lakini pia haileweki ni vipi gari hilo liliweza kuachwa mpaka linapelekea kwenda kugonga gari la waziri Mkuu ambaye gari zake zinakuwa katika mwendo wa kasi na kwa kufuatana karibu karibu. Ok hili tuliache tu maana hata mimi sina majibu na nilikuwa sijazaliwa.kikubwa tumuombee wazirii mkuu wetu ili Mungu aendelee kumuangazia mwanga wa milele.

Hivyo katika kumkumbuka ya kumkumbuka familia imeandaa ibada maalumu ya kumkumbuka itakayofanyika kijijini kwake Enguik Monduli juu wilayani Monduli. Hayo yameelezwa na msemaji wa familia ndugu Lembris Kipuyo. Ambapo amesema katika siku hiyo mambo mbalimbali yataelezwa hasa yale ambayo aliyafanya hayati wakati wa uhai wake kwa Taifa letu. Lakini pia kuna Taasisi ya Hayati Edward Moringe Sokoine ambayo imejikita katika kilimo,afya,vyanzo vya maji,hifadhi ya mazingira pamoja na elimu ambayo imeanzishwa.

Amesema Hayati Edward Moringe Sokoine atakumbukwa sana kwa mchango wake hasa katika Secta ya kilimo na mifugo ambayo pia ilichochea kuanzishwa kwa chuo cha kilimo Sokoine ,katika juhudi za kuhakikisha kuwa wataalumu wa kutosha wa kilimo wanazalishwa ili kufanikisha na kuhakikisha Taifa lina kuwa na chakula cha uhakika.

Hayati Edward Moringe Sokoine alizaliwa mwaka 1934 Agosti 1mkoani Arusha wilaya ya Monduli.ambayo mpaka sasa imetoa mawaziri wakuu wawili ambao wote wametangulia mbele za haki.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Uchawa umekuzidi we jamaa! Huyo Sokoine unamjua!? Au ni umemfahamu kupitia somo la history darasani. Hata wkt akifa ulikuwa hujazaliwa.
 
Back
Top Bottom