Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,444
Last edited by a moderator:
Jaribu kummeza nikutoe majicho!
You mean marejesho?
You mean marejesho?
Mi nilioteshwaa hii makitu ndio maana nilikataza nisitajwetajwe huku CC, mkubwa wenu asije akalizowea jina langu na kunitoa kafara!Wa 11 charminglady wa12 PakaJimmy wa13 St. Paka Mweusi wa14 Nicas Mtei wa15 BAGAH...
Hehehe! snowhite endeleza list manake freemasons mnajuana.
Sasa anahitajika mtu wa kuwa kafara ya chitchat fteemasons....
1. Erickb52
2. sweetlady
3. Asprin
5. snowhite
6. Nicas Mtei
7, watu8
8. figganigga
WA KWANZA AJITAJE FASTAAAAAAA
Tena wewe ndio gwiji wa u-freemason. mia.Nimefanya uchunguzi wa kina nikagundua hili jukwaa la chit chat linapendwa sana na mafreemason. ukitaka kuamini angalia avator zao, hata mwandiko wao umekaa kifreemason mason. pm zao zimekaa kifreemason, mijadala yao imekaa kifreemason. hata wewe unayesoma hapa ni freemason. Siku nikipewa umoderator kuna watu sita na moderator mmoja watapakimbia na kwenda kujiunga na mitandao pendwa ya udaku tanzania.look very.mia
Namba 8 anafaa kuwa kafara
No, namba 1.
Weee hebu toa balaa aisee
Weee hebu toa balaa aisee
Hahahah! Sisy kumbe hata baba yumo? Wanae tutapona kweli?
Wifi charminglady njoo usikie.
figganigga miss you mzima?
Kuna ile party ya watu wa dar utakuwepo?
Namba 8 anafaa kuwa kafara
Tena wewe ndio gwiji wa u-freemason. mia.