wanachit chat ni mafreemason!!

wanachit chat ni mafreemason!!

Mungu akusamehe na akuondolee pepo lako la tabia mbaya?

Babu aweza wekwa kundi moja na vijana wanakaribia kubalehe?

Ntake radhi!
morning hubby, morning chit chatters!, morning ma-free masons!
 
hamjambo nyie ma firi masoni?
08.jpg
 
ntaishije mjini hapa kama sio freemason ,weraweraweraaaaaa freemason ndio sababu tuna maid anonymus tukijua na si balaa tena hahahaha
 
Mi nilioteshwaa hii makitu ndio maana nilikataza nisitajwetajwe huku CC, mkubwa wenu asije akalizowea jina langu na kunitoa kafara!
Naomba tena nisitajwetajwe huku, hasa wewe mtalaka wa Filipo ambaye alikutosa baada ya kuona umeanzisha uhusiano wa mnatano na nitonye na Mungi na Arushaone.

Mkuu una agenda gani na ndoa yangu na Lily Flower? I wish atakuwa amevaa mawani meusi hataweza kuona hii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom