wanachit chat ni mafreemason!!

wanachit chat ni mafreemason!!

Nimefanya uchunguzi wa kina nikagundua hili jukwaa la chit chat linapendwa sana na mafreemason. ukitaka kuamini angalia avator zao, hata mwandiko wao umekaa kifreemason mason. pm zao zimekaa kifreemason, mijadala yao imekaa kifreemason. hata wewe unayesoma hapa ni freemason. Siku nikipewa umoderator kuna watu sita na moderator mmoja watapakimbia na kwenda kujiunga na mitandao pendwa ya udaku tanzania.look very.mia

Freemason ndiyo nini?
Ungesema Filipo na Mungi ningekuelewa, ila sio wana chit chat wote!
sweetlady ushindwe na ulegee
 
Last edited by a moderator:
JF pia ni freemasons huoni ilivyo na mvuto lolest........ hebu chunguza vizur J na F kwa freemasons katika namba ......
 
Back
Top Bottom