Wanachama wa CHADEMA wilayani Meatu wajiunga CCM

Wanachama wa CHADEMA wilayani Meatu wajiunga CCM

Hivi kumbe ukweli ni 10000 wametoka CCM kwenda chadema, ila ikiwa 100 kutoka chadema kwenda CCM ni uongo. Du! mna kazi nyinyi watum wa Chadema na siasa zenu.
 
Bila shaka hii habari imetungwa kujaribu kubalance migration inayoendelea nchi nzima from CCM to CDM
 
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.

Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.


Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?

Hao waliohama CDM na kuhamia CCM inabidi chama kimwite Gwajma awawekee mikono ili wapate maombi kwani nadhani watakuwa na akili za maiti.
 
Inaelekea hao wameshazoea kuwepo upinzani., hivyo wamewahi huko kwenda kufanya Maandalizi
 
Watanzania wanataka mabadiliko,wasipoyapata ndani ya c.c.m watayapata nje ya c.c.m- Mwl J.K.Nyerere 1995 - Dodoma
 
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.

Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.


Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?

Vitongoji 6 vina makatibu 918.........very interesting
 
Kweli mmechanganyikiwa mpk mnajisahau kuwa leo c tarehe 4/1 mnajua cku ya wajinga ni leo, poleni sn, mm nikajua hiyo ni freequency ya radio mmesahau kuweka . Ila tuwe tunaweka v2 vya ukweli,
 
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.

Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.


Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?

Nikikuita muhuni nitakuwa nimekosea?
 
Mkuu Asante kwa taarifa
Jipe moyo moyo mama.....
Breaking News:Wanachama1938 wakiwa na wenyeviti wao watano wa vitongoji katika Wilaya ya Ngorongoro Kataya Enduleni wamekihama Chama cha Mapinduzi (CCM) Jioni hii na kuhamia Chadema.
Kwamujibu wa katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha Amani Golugwa, Wenyeviti haowalipiga simu asubuhi ya leo na kutoa taarifa za kuhama CCM. Chadema ilituma KikosiKazi ili kuthibitisha habari hizo na tayari imethibitishwa wanachama hao kuhamaCCM na Kuhamia CHADEMA kama inavyoainishwa hapa chini;

1. Saitabau Tereto - Mwenyekiti waCCM Kitongoji cha Esirwai,

Amerudisha Kadi yake na kuhamia Chadema,
Wanachama wengine 478 waCCM katika Kitongoji hiki wamerudisha KADI zao na kuhamia Chadema.

2. Kone Kema - Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Ndiyani,
AmerudishaKkadi na Kuhamia Chadema,
WanachamaWengine 590 (CCM) katika kitongoji hiki wamerudisha Kadi na kuhamia Chadema
3. Marko Mbene – Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Ngoyapase,
Amerudisha Kadi na kuhamia Chadema,
Wanachama wengine 320 katika Kitongoji hiki wamerudishaKadi na kuhamia CHADEMA
4. Saruni Meng'arana – Mwenyekiti wa CCM Kitongojicha Embarware –
Amerudisha kadi na Kuhamia Chadema,
Wanachama wengine 224 katika Kitongoji hikiwamerudisha Kadi zao za CCM na kuhamia CHADEMA
5. RobertEdward – Mwenyekiti wa CCM Kitongoji cha Madukani
Amerudisha Kadi na kuhamia Chadema,
Wanachama wengine 326 wa CCM katikakitongoji hiki wamerudisha Kadi na kuhamia CHADEMA
Arusha Mambo itakatisha matangazo yake toka Bungeni Dodoma na kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja toka kwa Viongozi wa Chadema waliko eneo la tukio,

ili kusikiliza tembelea www.arushamambo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom