Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
CCM kwaheri.... Badilisha hapo penye Red
Abadilishe alafu paweje?
CCM kwaheri.... Badilisha hapo penye Red
Wanachama wa ccm wakiwemo wenyeviti wa vitongoji vitano wilayani ngorongoro, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema,na tayari wamebwaga kadi zao za ccm katika ofisi za chadema zilizopo wilayani humo na kukabidhiwa za chadema.
Tarifa hiyo imetolewa na katibu wa ccm mkoa wa Arusha Amani Golugwa.
Wanachama wa ccm wakiwemo wenyeviti wa vitongoji vitano wilayani ngorongoro, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema,na tayari wamebwaga kadi zao za ccm katika ofisi za chadema zilizopo wilayani humo na kukabidhiwa za chadema. Tarifa hiyo imetolewa na katibu wa ccm mkoa wa Arusha Amani Golugwa.
Kaka rekebisha hapo kwa katibu sio wa CCM bali ni WA chadema! zaidi ya hayo nakushukuru sana kwa taarifaWanachama wa ccm wakiwemo wenyeviti wa vitongoji vitano wilayani ngorongoro, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chadema,na tayari wamebwaga kadi zao za ccm katika ofisi za chadema zilizopo wilayani humo na kukabidhiwa za chadema.
Tarifa hiyo imetolewa na katibu wa ccm mkoa wa Arusha Amani Golugwa.