Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wamefanya jambo la maana sana kwa kuhama toka chama cha Ukanda wa Kaskazini.
Hana watoto huyo, ana mbwa tu...UKIONGEA UKANDA WA CHADEMA HATA WATOTO WAKO WATAKUCHEKA....
Huu ni uwongo wa kutisha
kweli wanaboa hawa wanachama wanaoyumbayumba, mara ccm mara chadema. yaani ukikosa cheo huku unakimbilia kule. Patamu sana
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?
Wanachama wa chadema kati yao wakiwemo wenyeviti na makatibu 918 wa vitongoji 6 wilayani Meatu, wametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na ccm, wengi wanasema wamechoshwa na siasa za kikabila za cdm na kuamua kurejea ccm kusipo na ukabila wala udini.
Source:katibu wa ccm wilaya bW. Abdilah Finangu.
Hivi huku kuhamahama maana yake nini wandugu?