Wana Yanga SC hatutaki Kudanganywa na Pesa za Bonasi za SportPesa tunataka 'Vyuma' Kusajiliwa kama vya Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,651
109,049
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli kweli.

Endapo Uongozi wangu wa Klabu ya Yanga ( na hasa hasa Rais Wetu Injinia Hersi Said ambaye sijui anatupeleka wapi Yanga SC ) asipobadilika nitaachana Kuishabikia Yanga SC ninayoipenda mno na kuhamia Simba SC ambayo nitaipenda sana.

Kazi ipo leo.......

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
 
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli kweli.

Endapo Uongozi wangu wa Klabu ya Yanga ( na hasa hasa Rais Wetu Injinia Hersi Said ambaye sijui anatupeleka wapi Yanga SC ) asipobadilika nitaachana Kuishabikia Yanga SC ninayoipenda mno na kuhamia Simba SC ambayo nitaipenda sana.

Kazi ipo leo.......

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Yanga si imefungiwa kusajili? Au imekuwaje tena?
 
Unawapangia yanga wasajili au lah! Wewe kama nani?? Hiyo sio kazi yako wewe subiri matokeo bora, uongozi uliopo unajitambua nini inafanya ukiona huwezi kua mtulivu Amia Makolo
 
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli kweli.

Endapo Uongozi wangu wa Klabu ya Yanga ( na hasa hasa Rais Wetu Injinia Hersi Said ambaye sijui anatupeleka wapi Yanga SC ) asipobadilika nitaachana Kuishabikia Yanga SC ninayoipenda mno na kuhamia Simba SC ambayo nitaipenda sana.

Kazi ipo leo.......

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Si wamefungiwa kusajili mkuu, sasa mnataka ivyo vyuma vishuke kutoka sayari gani? Na wakati huo huo mnasema wamekimbiwa na CEO wao kwa mujibu wa bwana shaffi dauda, kwa maana iyo mtulie ubingwa ni wenu msimu huu🤣🤣🤣
 
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli kweli.

Endapo Uongozi wangu wa Klabu ya Yanga ( na hasa hasa Rais Wetu Injinia Hersi Said ambaye sijui anatupeleka wapi Yanga SC ) asipobadilika nitaachana Kuishabikia Yanga SC ninayoipenda mno na kuhamia Simba SC ambayo nitaipenda sana.

Kazi ipo leo.......

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
wanaume wanatengeneza mibonasi wewe unapiga domo...KENGE MMOJA YANGA INAENDA KUWATIA MBUPU KWA MARA NYINGINE TENA MSIMU HUU WA NBC
 
GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli kweli.

Endapo Uongozi wangu wa Klabu ya Yanga ( na hasa hasa Rais Wetu Injinia Hersi Said ambaye sijui anatupeleka wapi Yanga SC ) asipobadilika nitaachana Kuishabikia Yanga SC ninayoipenda mno na kuhamia Simba SC ambayo nitaipenda sana.

Kazi ipo leo.......

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMIYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Mimi hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?
Ha ha ha


We jamaa huwa unanifurahisha mno kwa sabab mara zote huwa unaandika ngumu
 
Back
Top Bottom