Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,059
- 7,188
umegundua ulifanya uchunguzi au ndo kubahatisha! Sikila mwana jf awe ameolewa au kuoa
wa pili huyu hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umegundua ulifanya uchunguzi au ndo kubahatisha! Sikila mwana jf awe ameolewa au kuoa
Research zingine hazina hata title!!!
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.
Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa mara kwa mara kinyume na matarajio yao. Muda unavyozidi kwenda ndivyo ndoto zao zinavyozidi kuyoyoma....basi kila mtu wanamwona ni adui kwao. Wamejikatia tamaa.
we crap soma kwanza vizuri ndio uanze kuandika hizi pumba zako sijasema ina maana gani bali nimeuliza faida hasa ya kumfanya mkosaji ajikatie tamaa. Ulivyo mpumbavu eti unasema kuuliza swali hili ni sawa na kuuliza uhai una maana gani. So waliofiwa na waume/wake zao uhai hauna faida kwao ama mpuuzi sana wewe sura kama unataka kufa
Ndugu, katika ethics za utafiti kuna vitu viwili kama output, either uelezee chanzo cha tatizo ama utoe suluhisho. You have done neither of those. Ama ulikuwa unafanya situational analysis?
haka kamada najua kamewachoma wengi.
Wewe inaonyesha umekosa ile kitu u need a d**ck, get yourself a G...
kushnehi babu ji......!!
yani hapo ndo risechi yenyewe inaendlea.lakn hao wanaofanya risechi nimegundua ni ma-infideletas.
Ndugu, katika ethics za utafiti kuna vitu viwili kama output, either uelezee chanzo cha tatizo ama utoe suluhisho. You have done neither of those. Ama ulikuwa unafanya situational analysis?
Kuna kaukweli ndani yake.
Wapo wengi kwenye kundi la kupigwa chini, walio zalishwa janaume likakimbia, vipoozeo n.k
we crap soma kwanza vizuri ndio uanze kuandika hizi pumba zako sijasema ina maana gani bali nimeuliza faida hasa ya kumfanya mkosaji ajikatie tamaa. Ulivyo mpumbavu eti unasema kuuliza swali hili ni sawa na kuuliza uhai una maana gani. So waliofiwa na waume/wake zao uhai hauna faida kwao ama mpuuzi sana wewe sura kama unataka kufa
mada yako nzuri ina changamoto ila kabla hujaconclude kumbuka kuwa kuna aina tatu ya kila nafsi
1. Vile alivyo
2. Vile anavyopenda awe na
3. Vile anavyotaka watu wajue alivyo.
Sasa huweziconclude hivi hapa ambapo wengi tunaongea nyuma ya screen zetu. Wapo ambao wako kwenye ndoa but hawana sehemu za kutolea frustrations, madukuduku, opinion na matamanio yao zaidi ya JF. Mwengine anawezaandika jinsi anavyomnyoosha mumewe/mkewe akimkosea ilhali kiukweli ni mpole, mkimya na mnyonge asiyeweza kupaisha hata sauti mbele ya mwenzi wake. Ni hali ambayo anatamani sana angeweza kuwa nayo
Mwingine anaandika yake ambayo yanamfanya aonekane mpole, mkimya mwenye upendo wa dhati kwa mwenzi wake ilhali kumbe alishamkosea sana mwenzake na sasa anajifariji kwa 'ngeli na ngali' tu hapa.
mkuu nimechangia thread .. Nikauliza na swali..
sijaona sehemu kwenye thread yako uliyosema nisichangie hii thread ..
Unaona! mmeanza kukubaliana nami.
Nilishasema siku nying kuwa wengi humu si washauri kwa sababu kama hizo ulizozitoa hapo. Watu wakaja juu. Umenisaidia tu kukumbushia.:focus:
Pole we, usilolijua tokea hapa na ile ID yako tuliyoizoea unajificha ficha nini kukameruniwa kumekuharibu sana ww
Kwa kuchamba tu,mamamkwa wangu hujambo.
Heeheeeheeee!!Angalia vizuri mkuu, tayari imeanza kudhihirika!! Kwi kwi kwiiii...Hebu ngoja tuangalie katika uzi huu kama hili lina ukweli! :lol::lol: