Wana mmu wengi hawako kwenye ndoa.

Ndoa ina faida gani hasa ya kutisha mpaka mtu ukiikosa ujikatie na tamaa? Kulala nayo kila siku ama?

Poor you eti ndoa ina maana gani as a human being huwezi uliza swali kama hili ni sana na kuuliza uhai una maana gani pole sana dada keep dreaming and enjoy you single and frustrating live kumbe mtoa mada yupo sahihi
 
Poor you eti ndo ina maana gani as a human being huwezi uliza swali kama hili ni sana na kuuliza uhai una maana gani pole sana dada keep dreaming and enjoy you single and frustrating live kumbe mtoa mada yupo sahihi

Mkuu mi mada zangu huwa ni "realistic", tatizo hawawezi kuukubali ukweli kwa sababu hawajaitoa wao.
 
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.

Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa mara kwa mara kinyume na matarajio yao. Muda unavyozidi kwenda ndivyo ndoto zao zinavyozidi kuyoyoma....basi kila mtu wanamwona ni adui kwao. Wamejikatia tamaa.

Kuna kaukweli ndani yake.
Wapo wengi kwenye kundi la kupigwa chini, walio zalishwa janaume likakimbia, vipoozeo n.k
 
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.

Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa mara kwa mara kinyume na matarajio yao. Muda unavyozidi kwenda ndivyo ndoto zao zinavyozidi kuyoyoma....basi kila mtu wanamwona ni adui kwao. Wamejikatia tamaa.

The claims are not statistically significant
 
Poor you eti ndoa ina maana gani as a human being huwezi uliza swali kama hili ni sana na kuuliza uhai una maana gani pole sana dada keep dreaming and enjoy you single and frustrating live kumbe mtoa mada yupo sahihi

we crap soma kwanza vizuri ndio uanze kuandika hizi pumba zako sijasema ina maana gani bali nimeuliza faida hasa ya kumfanya mkosaji ajikatie tamaa. Ulivyo mpumbavu eti unasema kuuliza swali hili ni sawa na kuuliza uhai una maana gani. So waliofiwa na waume/wake zao uhai hauna faida kwao ama mpuuzi sana wewe sura kama unataka kufa
 
Nimegundua kuwa wana mmu wengi hasa wanawake hawako kwenye ndoa.

Ukiangalia michango yao wengi hulialia na wakati mwingine huwa na hasira sana kiasi kwamba inaonesha kuwa wamekuwa watu wa kuachwa mara kwa mara kinyume na matarajio yao. Muda unavyozidi kwenda ndivyo ndoto zao zinavyozidi kuyoyoma....basi kila mtu wanamwona ni adui kwao. Wamejikatia tamaa.


Wengine single seacher... tunatafuta humuhumu!:A S 465:
 
we crap soma kwanza vizuri ndio uanze kuandika hizi pumba zako sijasema ina maana gani bali nimeuliza faida hasa ya kumfanya mkosaji ajikatie tamaa. Ulivyo mpumbavu eti unasema kuuliza swali hili ni sawa na kuuliza uhai una maana gani. So waliofiwa na waume/wake zao uhai hauna faida kwao ama mpuuzi sana wewe sura kama unataka kufa

Acheni jazba jamani.
Jitahidini tu hivyo hivyo.
 
Mademu wanao tokwa na mapovu au kudharau mada hii yamewakuta. mia
 
Acheni jazba jamani.
Jitahidini tu hivyo hivyo.

Hahaha mi nakua na jazba nikikosa hela asee na sio hayo makitu mengine. Unajua haya maneno yenu ndio mnasababisha mabinti zetu wanajibebesha mimba ili waolewe eti ni sawa sawa na kukosa uhai wanaacha kuwaza maendeleo wanabakia kuwaza ndoa ambazo waliomo wanakesha baa.
 
Duh,kwani kuna kigezo cha kuolewa/au kuoa ili uwe mwana JF?
Anyway,that's all about JF na fake IDs.
You don't have to make someone guess your real name,
your gender or your marital status.

Kuna mtu aliniomba password yangu ya sehem flani one day.
nikamtajia "alfaomega",...(don't even thing of cracking it),....akasema "alfa" haiandikwi hivyo
ni "alpha",...sasa what is the use of a password if kila mtu anaweza jua inaanzaje na kuishaje.
(By the way my password is always a key to another password).

wa kwanza huyu hapa!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom