Wana MMU tumrudie MUNGU

Siku hizi imekua fashion kumrudia mola wakati wa matatizo,nimechunguza walokole wengi hasa akina dada hurudi makanisani wakishapatwa na majanga, mfano:Kuchelewa kupata mtoto.
Kukosa wachumba na umri unasonga.
Migogoro ya ndoa.
Uchumi kuyumba n.k.
Niwaambie neno moja nikiwamo na mimi Mungu si wa kipindi cha matatizo, always mtafute muda wote na nyakati zote za raha na shida daima atakusikiliza zaidi ya pale tupatapo shida na kuanza kukimbilia makanisani.

Yesu alikuja kwa ajili ya hao wenye matatizo,mfano hakuna mgonjwa anaeenda hospitalini kama si mgonjwa.
Pia Bibilia inasema njoni nyote muelemewao na matatizo nae atawapunzisha.
Soma Neno lake Mungu upate kuelewa ndugu,tunaokolewa kwa neema zake na si vinginevyo.
Tatizo ni kwamba watu awamjui Mungu sababu wengi wamezaliwa katika.dini.za.baba zao.na.wameadapt hizo dini.zisizo.fundisha Bibilia.vyema nakupelekea watu kutoijua kweli.
 
Ndio wako sahihi kabisa kwasababu Yesu alisema "alikuja kuokoa roho zilizopotea"

Tena akasema
"Wenye afya hawamhitaji daktari wanaomhitaji ni walio wagonjwa,sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu".

Tena akasema," duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo kwamaana mimi nimeushinda ulimwengu"

Kwahiyo Yesu alikuja kwa ajili hiyo, unless kufa na kufufuka kwake kusingekuwa na maana!

Tunajua Mungu hatakiwi kufuatwa wakati wa shida tu,lkn kupitia shida ndo wengi wamemjua Mungu!

Nb:makanisa mengi hayafundishi kweli,yapo mazoea tu!
Very point ndugu yangu,mwambie huyu ndugu asome Bibilia ahache kulishwa maneno ya mapokeo yasiyo na tija.Yesu akuponye wewe ulioandika mambo ya kudhani wanaokolewa kimajungu .
 
Ndio wako sahihi kabisa kwasababu Yesu alisema "alikuja kuokoa roho zilizopotea"

Tena akasema
"Wenye afya hawamhitaji daktari wanaomhitaji ni walio wagonjwa,sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu".

Tena akasema," duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo kwamaana mimi nimeushinda ulimwengu"

Kwahiyo Yesu alikuja kwa ajili hiyo, unless kufa na kufufuka kwake kusingekuwa na maana!

Tunajua Mungu hatakiwi kufuatwa wakati wa shida tu,lkn kupitia shida ndo wengi wamemjua Mungu!

Nb:makanisa mengi hayafundishi kweli,yapo mazoea tu!

Ubarikiwe sana dada kwa darasa, kama akili zingekuwa nywele huyu jamaa nahisi angekua na upaa(dongo)
cc Tarime one Kwani kashindwa hata kuchota japo la kumpenda jirani...kaona kukosoa ndo ujanja..baki na hayohayo mdogowangu.
 
Last edited by a moderator:
Very point ndugu yangu,mwambie huyu ndugu asome Bibilia ahache kulishwa maneno ya mapokeo yasiyo na tija.Yesu akuponye wewe ulioandika mambo ya kudhani wanaokolewa kimajungu .

Watu wanadhani kuponda na kukejeli yaliyoletwa na wengine ndo ujanja kumbe uhopeless, ni kweli kabisa huyu Tarime one anahitaji uponyaji.
 
Last edited by a moderator:
Ndio wako sahihi kabisa kwasababu Yesu alisema "alikuja kuokoa roho zilizopotea"

Tena akasema
"Wenye afya hawamhitaji daktari wanaomhitaji ni walio wagonjwa,sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu".

Tena akasema," duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo kwamaana mimi nimeushinda ulimwengu"

Kwahiyo Yesu alikuja kwa ajili hiyo, unless kufa na kufufuka kwake kusingekuwa na maana!

Tunajua Mungu hatakiwi kufuatwa wakati wa shida tu,lkn kupitia shida ndo wengi wamemjua Mungu!

Nb:makanisa mengi hayafundishi kweli,yapo mazoea tu!

Khaaa... Asante
 
Yaani unafanya dhambi zako peke yako
out of guilty unakuja kushauri watu wamrudie Mungu
as if unajua hao watu wako mbali na Mungu
wakati wewe unamrudia Mungu,wenzio wako na Mungu all the time
Hii in nitoke vipi ya kipekee.
 
Mbona unatoka povu mdogowangu....kama akili zingekua ni nywele basi wewe nafikiri ungekua na PARA la wembe.

Kheeee....

Wewe ndo unashauri watu wamrudie Mungu??

Siamini..
 
Siku hizi imekua fashion kumrudia mola wakati wa matatizo,nimechunguza walokole wengi hasa akina dada hurudi makanisani wakishapatwa na majanga, mfano:Kuchelewa kupata mtoto.
Kukosa wachumba na umri unasonga.
Migogoro ya ndoa.
Uchumi kuyumba n.k.
Niwaambie neno moja nikiwamo na mimi Mungu si wa kipindi cha matatizo, always mtafute muda wote na nyakati zote za raha na shida daima atakusikiliza zaidi ya pale tupatapo shida na kuanza kukimbilia makanisani.

Mungu pia utumia matatizo/vikwazo ili kumrudisha mtu kanisani/kwenye maombi/kwenye ufalme wake...ivyo wanaporudi inamaana wamejua Mungu ndio kipindilio lao na Mungu anapowajibu maombi yao wanazidi kumwamini na kusimama kwenye Imani....Asilimia 98 wengibwalisimama kimsombi baada ya kuwa na vikwazo fln....lakn wametendewa na wamezidi kumtukuza Mungu..."Mungu anasems njooni ninyi nyote mlio na mizigo nitawapumzisha"
ukiwa na matatizo au ukitenda dhambi kimbilia kwa Mungu ndio kimbilio letu.
 
Watu wanadhani kuponda na kukejeli yaliyoletwa na wengine ndo ujanja kumbe uhopeless, ni kweli kabisa huyu Tarime one anahitaji uponyaji.

Sihitaji uponyaji ccPaa, nilishaponywa zamani baada ya yesu kufia msalabani sababu ya dhambi zangu, wewe ndie unaehitaji uponyaji kwa kuona wengine hopeless na wewe mjanja,.
 
Last edited by a moderator:
Kwani Yeye ni mwenye huruma na Amejaa neema na rehema tele.
Tusiwafanyie watu mambo tusiyopenda watufanyie sisi....na tuwapende jirani na adui zetu kama tunavyojipenda wenyewe....Mwenye ufahamu ameelewa na mwenye macho amesoma.
Muwe na weekend njema.

Mungu akulipe kila lililojema na akufungulie mambo yako and hereafter akuingize peponi. Binadamu tumekuwa wanafiki vya kutosha, binafsi siamini kuwa kuna mpagani humu jukwani. Wengi tuko either waislamu au wakristo. Pande zote mbili zinaa imeharamishwa waziwazi lakini tunakuja na thread za ajabu ajabu. please my dears tutambue kuwa ukifundisha elimu njema utapata malipo hata ukiondoka vivyo hivyo ukifundisha elimu njema.
Mfano leo akitajwa firauni hata asiyekuwa na dini anajua no mtu mwovu sliyewahi kupita kwenye huu ulimwengu. Twendeni makanisani na misikitini kwa kumaanisha huenda Mungu akatufanyia wepesi akatupa wenza watakaokuwa na huruma, kujali na mapenzi ya kweli.
Asanteni.
 
Mungu pia utumia matatizo/vikwazo ili kumrudisha mtu kanisani/kwenye maombi/kwenye ufalme wake...ivyo wanaporudi inamaana wamejua Mungu ndio kipindilio lao na Mungu anapowajibu maombi yao wanazidi kumwamini na kusimama kwenye Imani....Asilimia 98 wengibwalisimama kimsombi baada ya kuwa na vikwazo fln....lakn wametendewa na wamezidi kumtukuza Mungu..."Mungu anasems njooni ninyi nyote mlio na mizigo nitawapumzisha"
ukiwa na matatizo au ukitenda dhambi kimbilia kwa Mungu ndio kimbilio letu.

cc, The Boss & Tarime one
 
Last edited by a moderator:
Sihitaji uponyaji ccPaa, nilishaponywa zamani baada ya yesu kufia msalabani sababu ya dhambi zangu, wewe ndie unaehitaji uponyaji kwa kuona wengine hopeless na wewe mjanja,.

Hivi Wewe ni muelewa kweli??
 
Mungu akulipe kila lililojema na akufungulie mambo yako and hereafter akuingize peponi. Binadamu tumekuwa wanafiki vya kutosha, binafsi siamini kuwa kuna mpagani humu jukwani. Wengi tuko either waislamu au wakristo. Pande zote mbili zinaa imeharamishwa waziwazi lakini tunakuja na thread za ajabu ajabu. please my dears tutambue kuwa ukifundisha elimu njema utapata malipo hata ukiondoka vivyo hivyo ukifundisha elimu njema.
Mfano leo akitajwa firauni hata asiyekuwa na dini anajua no mtu mwovu sliyewahi kupita kwenye huu ulimwengu. Twendeni makanisani na misikitini kwa kumaanisha huenda Mungu akatufanyia wepesi akatupa wenza watakaokuwa na huruma, kujali na mapenzi ya kweli.
Asanteni.

Ubarikiwe kwa elimu nzuri. Unajua watu wengine huwa proud na furAha yao ni kuona mtu anaaibika au anafeli katika mambo yake, nimeleta uzi nasema tuwachukulie jirani zetu kama sisi wenyewe na tumrudie Mungu, halafu wengine wanaleta yao....watu wana maudhi sana.
 
Ubarikiwe kwa elimu nzuri. Unajua watu wengine huwa proud na furAha yao ni kuona mtu anaaibika au anafeli katika mambo yake, nimeleta uzi nasema tuwachukulie jirani zetu kama sisi wenyewe na tumrudie Mungu, halafu wengine wanaleta yao....watu wana maudhi sana.

Amiin.
Imeshuhudiwa mbinguni kuwa umesema yaliyo haki na Mungu atakulipa kwa hilo. Binadamu sote ni wakosaji ila aliyebora ni Yule anayekosea hujirudi na kutubu kwa Mola wake. Tukumbushane kuifuata haki huenda Muumba wetu akatujaalia mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom