Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,730
Hivi Wewe ni muelewa kweli??
Nieleweshe ili niokoke nisiwe hopeless.
Hivi Wewe ni muelewa kweli??
Nieleweshe ili niokoke nisiwe hopeless.
Yaani unafanya dhambi zako peke yako
out of guilty unakuja kushauri watu wamrudie Mungu
as if unajua hao watu wako mbali na Mungu
wakati wewe unamrudia Mungu,wenzio wako na Mungu all the time
Mungu ni mwenye huruma na
Amejaa neema na rehema tele.
Tusiwafanyie watu mambo tusiyopenda
watufanyie sisi....na tuwapende jirani na
adui zetu kama tunavyojipenda
wenyewe....
Katika post zako zote umeyagusia haya
Ndio mimi hapa, ilipaswa uniulize kwanini nimesema hivyyo...kabla ya hii post yako..
Unapomrudia mungu ukiwa kwny matatizo, inaonyesha namna gani unajua mungu ndo pekee mwny nguvu na wa kunisaidia.