Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
Next time sitakosa ......I am deeply sorry..................tutawasiliana nikirudi angalau tukapate kisusio pale Madini..........au utumbo wa kuchoma.........au maini ya kuchoma...........hayo ni maeneo yangu mara kwa mara........................
Sawa mkuu!...tuko pamoja...Usisahau kuleta Senene wa hapo Kaishozi!
 
Nawatakia kila la heri...Nawatamani.

Salimia wote,PakaJimmy,Pretta,Wiselady,MJ1,FL,Matty,Teamo,Kaizer na wengineo...


Uko kwenye dozi,are you sick,ndio maana ukatuzimia simu......
Mheshimiwa sana Regia, tunashukuru sana kwa maombi yenu, safari ilikuwa ya mafanikio na burudani...
Tokea sasa nimebadilika...nitakuwa nachangia kwa ukali sana kuhusu maliasili za Tanzania , ambazo baadhi ya watu wachache wanataka kuzimiliki, au kuzigeuza ziwanufaishe wao kibinafsi...nadhani itasaidia..Na nyiynyi waheshimiwa wetu jukumu lenu juu ya uhifadhi wa maliasili zetu ni kubwa sana, hakikisheni mnaunda na kuboresha sera za utalii, uwindaji na uhifadhi kwa ujumla ili mali hizi ziwe endelevu.
 
Nawapongeza sana wana JF Arusha kwa maandalizi na kufanikisha shughuli nzima, Mungu awabariki wote walioshiriki na wale wote ambao hawakupata fursa ya kushiriki.... There is always a next time, tuombe Mungu atatujalia amani na upendo tulionao udumu... Amani iwe kwenu..:A S crown-1:
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

Max, tunakuombea upone haraka... Mungu ni mwema
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

Mkuu.....kwanza nikupongeze sana kwa juhudi zako ambazo ndizo zimezalisha jambo hili tulilolifanya leo.....nimejaribu kupitia kwa harakaharaka kutathmini ni mtandao gani unaoweza kukutanisha watu kwa style hii nimeukosa.....ni jambo la kushangaza sana.....kuona watu wana upendo wa namna hii bila kufahamiana.....

Nikushukuru pia na wewe rasmi kwa kuacha shughuli zako na kuungana na sisi.....tumefurahi sana, na pia umetuongezea chachu ya kuifanya Jamii Forums iwe zaidi ya hapo ilipofikia.

Pia niwashukuru na members wale wote walioonyesha upendo wao wa kutoka Dar es Salaam kuja kuungana na sisi na wale wote walioshindwa kujumuika lakini walikuwepo na sisi kimawasiliano na kiroho.

Mwisho niwashukuru members wote wa Jamii Forums kwa upendo wao na Mungu awazidishie moyo huo huo wa upendo mlio nao.

Mkuu...tumekuweka kwenye sala zetu uweze kumalizana na dozi salama ili tuweze kuendelea kuwa na wewe katika jukwaa hii letu kwa ujumla.

JAMII FORUMS NI ZAIDI YA KEYBOARD
 
Mkuu.....kwanza nikupongeze sana kwa juhudi zako ambazo ndizo zimezalisha jambo hili tulilolifanya leo.....nimejaribu kupitia kwa harakaharaka kutathmini ni mtandao gani unaoweza kukutanisha watu kwa style hii nimeukosa.....ni jambo la kushangaza sana.....kuona watu wana upendo wa namna hii bila kufahamiana.....

Nikushukuru pia na wewe rasmi kwa kuacha shughuli zako na kuungana na sisi.....tumefurahi sana, na pia umetuongezea chachu ya kuifanya Jamii Forums iwe zaidi ya hapo ilipofikia.

Pia niwashukuru na members wale wote walioonyesha upendo wao wa kutoka Dar es Salaam kuja kuungana na sisi na wale wote walioshindwa kujumuika lakini walikuwepo na sisi kimawasiliano na kiroho.

Mwisho niwashukuru members wote wa Jamii Forums kwa upendo wao na Mungu awazidishie moyo huo huo wa upendo mlio nao.

Mkuu...tumekuweka kwenye sala zetu uweze kumalizana na dozi salama ili tuweze kuendelea kuwa na wewe katika jukwaa hii letu kwa ujumla.

JAMII FORUMS NI ZAIDI YA KEYBOARD
Tangia niingie humu jamvini sijamwona Pretta akiandika maandiko mengi hivi.....................she must have been thrilled to say the least...................huwa anaandika mstari mmoja tu.........................akizidisha sana miwili......she is now opening up.....isn't she?
 
Sawa mkuu!...tuko pamoja...Usisahau kuleta Senene wa hapo Kaishozi!

Tuombeane afya kabla ya yote......................mengineyo yanawezekana kw auwezo wa muumba.......Ninafurahi huku hakuna mgawo......umeme wa Uganda...................
 
mkuu we acha tu... nasubiri teamo aje na ripoti kamili tuangalie either tujinyonge au tung'ate mawe

kujinyonga hapana....tutakukosa....lakini kung'ata mawe hiyo haikwepeki
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

Mkuu Maxence tunakushukuru sana kwa kutujoin huku Arusha tunakukaribisha tena na tena, uko kwenye sala zetu upone haraka ili uweze kuendelea kutuunganisha wanajf I salute u man. Many thanks.
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

mkuu,sina maneno mazuri ya kuweza kukushukuru lkn ni maombi yangu kwa mungu kuwa,akujalie afya njema utimize ndoto zako,,ubarikiwe sana.watu wa dar shukrani sana tunawapenda sana,bila kusahau wale mliotuombea na kutuhamasisha,,mungu ibariki jf
 
Wakuu,

Nipo Arusha sasa hivi na crew ya members wa JF toka Arusha na Dar. Maandalizi ni mazuri sana na maswali mengi yameulizwa na kujibiwa live. Ndo tunapata viburudisho baada ya session ya maswali na majibu ya takribani masaa matatu.

Ni jambo la kufurahisha sana kukutana na watu zaidi ya 20, kwa wakati mmoja ambao hamkuwa mnafahamiana kwa sura.

Kilichonifurahisha zaidi kila mmoja katoa maoni yake na yakachangiwa na wenzake, bahati mbaya nitawaacha kwani nipo kwenye dozi, lakini wana JF wa Arusha nawashukuru kwa moyo wenu huu!

Mkuu Maxence tunakushukuru sana kwa kutujoin huku Arusha tunakukaribisha tena na tena, uko kwenye sala zetu upone haraka ili uweze kuendelea kutuunganisha wanajf I salute u man. Many thanks.
 
natamani sana nije nionane na mwana fj hata mmoja tu haiwezekani simfahamu hata mmoja humu ndani!

ila nawapongeza sana wote waliojumuika siku ya leo na kubadilishana mawazo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom