Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Last edited by a moderator:
Filipo malizia kabisa ule mpango wako wa muda mrefu...fursa hiyo...umenionea wapi Erickb52? Arabela mdogo wangu mambo..... Arushaone mzima?
Hahahah PakaJimmy kumbe hujajua mapozi ya watoto wa pwani eeh?
shauri yako
nakala: KOKUTONA, Arabela, Arushaone Filipo Mzee wa Rula Lily Flower
Nafurahi kutambua ya kwamba huna jambo...
Miye mzima wa afya hivyo usitie shaka mpendwa...
Mi sijakutana wala kumsikia sweetlady tokea mabomu yalipotandikwa.
Pia sijamsikia Mysoul, Mchaka Mchaka, Jackbauer Lily Flower na Preta.
Plz meeen, kama mpo fit itikeni tujue, na kama mko Selian Hospital kaeni kimya hivyohivyo, tutakuja kuwatembelea saa 8 na Azam Juice, na tutapiga 'donee' tuwahamishie Samunge!
Kione kwanza!
nimekuja dar kwa matibabu niliumia kwenye bomu jf wa dar tuonane