Wana Jf wa Arusha wapo Salama?

Wana Jf wa Arusha wapo Salama?

Last edited by a moderator:
Pitieni pitieni ambao hawaonekani humu maana wengi wanaweza wakawa Majeruhi kufuatia mlipuko wa bomu,hatujuani kwa sura.

kama kimbweka na FD wapo poa hamna mbaya ila na wasiwasi na mkuu @ujengele kitambo sana sijamsikia..
 
Hiyo red ni kujipaka damu tu, Uonekane mchinjaji kumbe muuza bucha! Ila hiyo blue imedhihirisha ukweli wa maneno yangu!

Angeandika kwa maandishi meupe bado ungemsema..Ni sawa na wavaa makoti meupe kumbe wote sio madaktari wengine wauza nyama buchani..
 
Back
Top Bottom