Wana Jf wa Arusha wapo Salama?

Wana Jf wa Arusha wapo Salama?

Nipo mzima wa afya PakaJimmy....... Am sure ungekuwa unanipenda kama zamani ungeshanisikia /kukutana na mimi siku ile ile bomu lilivolipuka!

Filipo popote ulipo nimekumiss badly, fanya unipigie kabla mlipuko mwingine haujatokea ....

Naam!

Kione kwanza!
Kinatupa presha bure kumbe kipo hai!...
Huyo Filipo unayemtaka ndio alichangisha mchango wako wa RIP, na alisema kuwa aliona live Chagonjwa akikuelekezea avocado!...Halafu bado unamuitaita hapa...unaniboa mimi! Ntasitisha huduma ya Gb ninazokurushia!


Huo wivu utakusumbua sana Mkuu!

sweetlady nimekumissije aise
Mbona umeacha mazoezi ya kwaya mpaka kwaya yetu imedorora bana
Aione PakaJimmy na Filipo

Mkuu utammiss vp wakati yeye kanimiss mimi!
 
Back
Top Bottom