Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,347
- 5,553
Naam!
Kione kwanza!
Kinatupa presha bure kumbe kipo hai!...
Huyo Filipo unayemtaka ndio alichangisha mchango wako wa RIP, na alisema kuwa aliona live Chagonjwa akikuelekezea avocado!...Halafu bado unamuitaita hapa...unaniboa mimi! Ntasitisha huduma ya Gb ninazokurushia!
Huo wivu utakusumbua sana Mkuu!
Mkuu utammiss vp wakati yeye kanimiss mimi!