Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mdogo wangu, andaa begi tunaenda wikendi inayokuja
Hahahaha dah Chuda vp hatupitii bro?
mdogo wangu, andaa begi tunaenda wikendi inayokuja
Nifanyaje ili niweze kupata kibali?
Napenda sana nije Arusha nakosa mwenyeji huko.
<br />
<br />
Hahaha mi najua hapo pana meng mazur,sio pakukosa.
Hope nitaenjoy!
MTM nasikia una ban ya kutokanyaga Arusha sijui ni kweli
Hahahaha dah Chuda vp hatupitii bro?
Itakuwa alijitwanga ban mwenyewe huyu, habari yako binafsi bhana.
Pamoja na misukosuko arusha ina watu wakarimu mno.
mi mzima,kazi tu!<font color="#800000">Nimeipenda hii mkuu, mzima lakini?</font>
Hahahahah alijitengenezea mwenyewe huyo ndo maana anaogopa kuja
Salama Dear za kwako
mi mzima kabisa
Si una jua tena mambo ya A - town, huku watu hawaondoki mapema sio kama Tanga waja leo............., amuulize babu Aspirin yaliyomkuta, ha ha ha ha, niko poa kabisa, dear.
Wala hana haja ya kwenda mbali hapa mtu huwa hana hamu ya kuondoka ratiba zake tuu za kazi zinamkimbiza
Asante kusikia kuwa unaendelea vyema
Pamoja na kwamba nilikuwa tight lakini nilipata nafasi ya kufika pale sehemu inaitwa Africafe......... bonge la pahala pa kupata kahawa yaani
Ukizingatia mkoloni ni wa hapa hapa, kazi kweli kweli.
Umeona eeh! Tena siku nimefika kulikuwa na bonge la tukio yaani nikalimiss.............. Dah it was........
huku huwa watu wakarimu bhana, wakijaga huwa hawaondoki kirahisi kirahisi, hata hivyo karibu tena kaka.