Wana JF tumuombee Lowassa

Wana JF tumuombee Lowassa

Mapenzi ya mungu ya kutuletea lowasa kuwa rais wa hawamu ya 5 yatimizwe

Na alaaniwe kwa kipimo kilekile yule atakayenyoosha kidole kumlaani Rais wetu wa awamu ya 5 Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA.

Na majibu tumeanza kuyaona waovu wameanza kupoteza kongosho na maini mmoja mmoja...
 
Na alaaniwe kwa kipimo kilekile yule atakayenyoosha kidole kumlaani Rais wetu wa awamu ya 5 Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA.

Na majibu tumeanza kuyaona waovu wameanza kupoteza kongosho na maini mmoja mmoja...

Kweli kabisa mkuu maana malipo ni hapa hapa duniani
 
Mungu asikie maombi ya wengi walio katika shida zilizotokana na udhaifu wa utawala
 
Amen, pamoja tutafika katika kulijenga Taifa.


Viva Tanzania, Viva Chadema, Viva Ukawa, Viva Mama Tanzania

Mungu yu pamoja nasi ktk kuufikia ukombozi wa pili wa ukweli wa taifa letu tanzania chini ya rais lowasa
 
Na alaaniwe kwa kipimo kilekile yule atakayenyoosha kidole kumlaani Rais wetu wa awamu ya 5 Mh. EDWARD NGOYAI LOWASSA.

Na majibu tumeanza kuyaona waovu wameanza kupoteza kongosho na maini mmoja mmoja...


Alaaniwe pia yeyote mwenye nia ovu ya kutupatia Kiongozi Muovu na majibu tumeyaona watatu kati yao wamepoteza Kongosho na maini mmoja mmoja....
 
Mungu yu pamoja nasi ktk kuufikia ukombozi wa pili wa ukweli wa taifa letu tanzania chini ya rais lowasa

Mungu hayuko na wanafiki, wale waliomwita Lowassa fisadi na mwizi alipokuwa ccm, wakamfanya shujaa alipo wanunua !
Labda awe mungu wa msalabani ndio wa ukombozi !
 
Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.

Amini kwamba alichopanga MUNGU ndicho kitakachokua,njia zake hazichunguziki,atakae kua rais huyo ndo MUNGU alimpanga kwa makusundi maalumu ndani ya inchi,MUNGU hatoi kiongozi kwa mapenzi yako,anatoa kiongozi kwa sababu zake za msingi,sema hv TUUOMBEE UCHAGUZI NA WAGOMBEA WAKE ili MUNGU apite hapo na kutoa yule anayependezwa nae
 
Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.
Afadhali ungetumia muda huo kumuomba Mungu uokote gunia la noti hata za 500 than kuomba kitu kisichowezekana wala kujibiwa.
 
Back
Top Bottom