Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #21
Mimi simsahau katika Dua zangu za kila siku.
Tuungane katika kumuombea mzee wetu maana rafu/fitna dhidi yake/yetu zinazidi.
Lakini hakuna amshindaye Mungu,nina hakika hatoyatupa maombi yetu,kwa uwezo wake tutashinda.
Ameeeeeennnnn