Wana JF tumuombee Lowassa

Wana JF tumuombee Lowassa

Mkuu, ukisikia UKAWA ni genge la wahuni, ni kama hivi. Na kwa kuwa Mungu wa kweli hadhihakiwi, atajibu sawa sawa na dhihaka zao

Mwaka huu ni mwaka wa historia kwa ukawa na mwaka wa tabu kwa ccm
 
tumejifanya kuwa na vichwa vigum kweli kwel watz,
kama mtu hafai hafai tu hata ukeshe kansan unaomba
hawez kufaa.
 
Mungu amuwekee mkono wake ulio na rehema na baraka amwepushe na hatari zote za roho na zamwili ili ifikapo 26 October aingie ikulu Amen
 
Mungu amuwekee mkono wake ulio na rehema na baraka amwepushe na hatari zote za roho na zamwili ili ifikapo 26 October aingie ikulu Amen

Shkrani mkuu kwa dua yako njema na yenye akili
 
Ee mungu tufanikishe tuweze kumpeleka mgombea wetu mh lowassa kwenye uwongozi ujao wa uraisi.
 
Ee mungu tufanikishe tuweze kumpeleka mgombea wetu mh lowassa kwenye uwongozi ujao wa uraisi.

Mkuu tupo woote kwenye dua njema kama hii naamini mungu atazipokea dua zetu
 
Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.

yaani nipige hatua naenda nyumba ya ibada nikamwombee huyu jamaa awe raisi labda wa yanga au FM academia, nendeni tu kwa waganga wa kienyeji wawasaidie
 
Mapenzi ya mungu ya kutuletea lowasa kuwa rais wa hawamu ya 5 yatimizwe
attachment.php
ombeeni Tanzania yote iwe na Amani kwani Magufuli ndio chaguo sahihi
ubaguzi wa ukabila na Udini ni vitu vilivyowaponza sana CDM mmewaambukiza hata UKAWA waliotoka CCM, km kina Sumaye, Kingunge, Masha, Mgeja MUSSA ALLAN

 

Attachments

  • Lowassa Mlutheri.jpg
    Lowassa Mlutheri.jpg
    28 KB · Views: 415
Back
Top Bottom