Wana JF tumuombee Lowassa

Wana JF tumuombee Lowassa

Mi kila siku asubuhi hufanya maombi yangu.familiya na kamanda lowasa..Mungu azidi kumlinda
 
Ndy naingia misa za kwanza hapa hii ndiyo ombi langu kubwa na aweze kuwa rais wa wote.
 
Matusi hayaruhusiwi leo siku ya jumapili maana ni dua tu za kunuombea lowasa kushinda urais kwa kishindo kikuu

Kumuombea Lowassa ni matusi makuu, hata Lema alitushauri tumzomee tutapata thawabu kwa Mungu
 
Kumuombea Lowassa ni matusi makuu, hata Lema alitushauri tumzomee tutapata thawabu kwa Mungu
Hakuna rafiki ama adui wakudum katika siasa rafiki!!!!!ni sawa na kushangaa warioba kala kichapo nabado anapandq jukwaan kunad ccm!!!!!,

Tutamwombe lowassa maadam iitwapo leo!!!!!Amina
 
Lowassa hafai kuwa Rais hata wa mtaa wacha nchi.

Jikumbushe Chato.
Kweli inasikitisha kwa yaliyo tokea chato inasikitisha haswaa maana vijiji 22 ccm ilipata viwili tu!!!!

Nani huzun kuu kwa jimbo hilo la chato kwenda kwa DR Likanima wa chadema asubuh kabla ya missa ya pil
 
Back
Top Bottom