Wana JF tumuombee Lowassa

Wana JF tumuombee Lowassa

Mungu yuko nasi daima hata mwacha mh. Edward lowasa kuaibika..
Naamini ukawa wameshashinda tayar AMENIIIII
 
Mkuu huo ndio uamuzi sahihi na kwa wakristu leo hii tunajazana makanisani kuombea uchaguzi na kumuombea mhes EDWARD NGOYAI LOWASA kushinda kwa kishindo na kuwa rais wa JMT kwa hawamu ya 5

kwa kuwa john magufuli ni mpagani. mungu hana upendeleo. hutenda anavyoona inafaa.
 
Mungu yuko nasi daima hata mwacha mh. Edward lowasa kuaibika..
Naamini ukawa wameshashinda tayar AMENIIIII

Kweli kabisa mkuu mungu pamoja nasi
 
attachment.php
ombeeni Tanzania yote iwe na Amani kwani Magufuli ndio chaguo sahihi
ubaguzi wa ukabila na Udini ni vitu vilivyowaponza sana CDM mmewaambukiza hata UKAWA waliotoka CCM, km kina Sumaye, Kingunge, Masha, Mgeja MUSSA ALLAN


Akili za ngiri
 
Mimi nilianza kumwombea pale tu aliposema ccm byeeee hadi mda huu nimepiga got
 
Mkono wa Mungu aliyejuu umshike na akapate ushindi wa nguvu
 
Yani Watz bana Baada ya kuombapate kiongozi atakayeongoza nchi vizuri na kutawala kwa amani mnaomba kwa ajili ya mtu mmoja je kama akiboronga?
 
Mimi kila siku kabla ya kulala lazima niombee raisi wetu mtarajiwa Edward Lowasa.
Zimebaki siku 7 kabla ya uchaguzi amani ya nchi yetu ipo mikono mwa NEC. tunawaomba sana NEC msikubali kubeba laana ya watanzania tendeeni haki.

PIGA KURA LINDA KURA.
 
Wana jamvi leo ni jumapili ya mwisho kabla ya 25.10.2015 siku ya kumpigia kura Edward Ngoyai Lowasa kuwa rais wetu wa JMT kwa wakristu tuanze kumuombea leo na waislam watafanya hivyo ijumaa ijayo.

Amen,na Mungu atayasikia maombi yetu.
 
Mimi kila siku kabla ya kulala lazima niombee raisi wetu mtarajiwa Edward Lowasa.
Zimebaki siku 7 kabla ya uchaguzi amani ya nchi yetu ipo mikono mwa NEC. tunawaomba sana NEC msikubali kubeba laana ya watanzania tendeeni haki.

PIGA KURA LINDA KURA.

Tutazilinda kura zetu
 
huwezi kufunga na kumuomba Mungu ili Lowasa, ama Magufuli, au Mgwira, ama Rungwe au yeyote awe Rais? ila unaweza kufunga na kumuomba Mungu atupatie kiongozi yoyote kwa amani!
Kama kufunga na kuomba ni kumlazimisha Mungu basi wewe huna dini hata nikikuita mpagani sawa tu maana kila dini, kila mwaka na wengine kwenye kila wakati mgumu wanaopitia hufunga na kumlilia Mungu alete suluhisho.
 
Back
Top Bottom