- Thread starter
- #41
kifaransa wanakipata barabara lakini kingereza ni mambumbu ile mbaya.
Sasa huyu muanzisha thread anaona kingereza ndio ishu,angewauliza hao jamaa wako fluent kwa kiswahili au la.
Cha muhimu angalia uwezo wa mtu kufanya kazi,kwani alikuwa anaajiri walimu wa kingereza?
sasa waulize darasani walifundishwa kifaransa na wanaweza kuelezea wanayoyajua kifaransa au wanjing'atang'ata kama hawa wetu apa!