Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

wala haijachakachua....

Ni kitu halisi alichoongea mwenyekiti na aliwaambia waandishi wakaandike... nyie ndo mnahangaika kutaka kusema eti TBC wamekanusha ili muoneshe kwamba tunajutia kauli hiyo..

soma hiyo usipate tabu...

"Tulizungumza nalo hilo kwenye Kamati Kuu, tulikubaliana kuacha unyonge. Ndiyo, kwenye Kamati Kuu tumekubaliana, tumesema jamani watu wote waende wakaseme tumekubaliana kuacha unyonge," alisema huku akicheka na kupigiwa makofi na wajumbe wa Nec.

Rais Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, alitolea mfano wa tukio lilitokea Kahama mkoani Shinyanga, ambapo kijana mmoja alitolewa macho kwa bisibisi, na tukio la Igunga ambapo kijana mmoja alimwagiwa tindikali katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo.

"Acheni unyonge na hata katika taarifa ya habari leo (jana) mtoe hivyo hivyo. Na mwache habari zote mseme hii tu (waandishi wa habari). Uvumilivu una ukomo wake," alisema huku wajumbe wakiendelea kumpigia makofi.

"Nalisema kwa sababu yanayotokea yanasikitisha sana. Pale Igunga kijana yule wamemwagia tindikali, pale Kahama kijana ametolewa macho kwa bisibisi,"alisema.


haturudi nyuma kuwa na unyonge... unyonge basi

.....

....
images



......
TAFAKARI !!!!
 
Asamehewe bure kwasababu alighafilika baada ya kupewa na kuisoma report ya mwenendo wa chama hasa katika chaguzi ndogo.
 
Usiwe m-pumba-vu wewe.....

Alichosema Kikwete ni upuuzi mtupu !....Kila mtu mwenye ufahamu wa kawaida analijua hili....Hao wanaosema kuhusiana na TBC kila mtu anajua wana-joke, kujaribu ku-speculate jinsi watakavyojitetea !

Hivi kwa akili yako, unafikiri, ikulu wata-defend kauli yake kama unavyofanya wewe ?.....Ofcourse watajaribu kuonyesha kwamba hakumaanisha hivyo....watakapofanya hivyo sijui utasemaje wewe mburula ?

wala haijachakachua....

Ni kitu halisi alichoongea mwenyekiti na aliwaambia waandishi wakaandike... nyie ndo mnahangaika kutaka kusema eti TBC wamekanusha ili muoneshe kwamba tunajutia kauli hiyo..

soma hiyo usipate tabu...

"Tulizungumza nalo hilo kwenye Kamati Kuu, tulikubaliana kuacha unyonge. Ndiyo, kwenye Kamati Kuu tumekubaliana, tumesema jamani watu wote waende wakaseme tumekubaliana kuacha unyonge," alisema huku akicheka na kupigiwa makofi na wajumbe wa Nec.

Rais Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, alitolea mfano wa tukio lilitokea Kahama mkoani Shinyanga, ambapo kijana mmoja alitolewa macho kwa bisibisi, na tukio la Igunga ambapo kijana mmoja alimwagiwa tindikali katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo.

"Acheni unyonge na hata katika taarifa ya habari leo (jana) mtoe hivyo hivyo. Na mwache habari zote mseme hii tu (waandishi wa habari). Uvumilivu una ukomo wake," alisema huku wajumbe wakiendelea kumpigia makofi.

"Nalisema kwa sababu yanayotokea yanasikitisha sana. Pale Igunga kijana yule wamemwagia tindikali, pale Kahama kijana ametolewa macho kwa bisibisi,"alisema.


haturudi nyuma kuwa na unyonge... unyonge basi
 
Amechoka na amani ana taka kujaribu kwanza ya Rwanda na Burundi.

We umevurugwa na chadema wenzako, kwani kuacha unyonge ndio kuua? Mbona kibabu kila siku kinatoa matamko makali ya kuvunja amani akisaidiwa na Mbowe na Lema sijakuona hata kuandika chochote humu! Acha ujinga.
 
Watu wote wapenda AMANI,hasa wanaharakati wa Tanzania wasipolisemea hili Tamko la Rais,wajue kabisa wanakalibisha mauaji ya kimbari Tanzania,ninaomba mijadala ifanyike ya wazi kabisa kujadili hii kauli inayotolewa na Rais wa nchi.Wamwambie lazima aombe radhi kwa kauli yake,maana kauli yake ni sheria kamili ambayo itatekelezwa na watu wote.
 
Usiwe m-pumba-vu wewe.....

Alichosema Kikwete ni upuuzi mtupu !....Kila mtu mwenye ufahamu wa kawaida analijua hili....Hao wanaosema kuhusiana na TBC kila mtu anajua wana-joke, kujaribu ku-speculate jinsi watakavyojitetea !

Hivi kwa akili yako, unafikiri, ikulu wata-defend kauli yake kama unavyofanya wewe ?.....Ofcourse watajaribu kuonyesha kwamba hakumaanisha hivyo....watakapofanya hivyo sijui utasemaje wewe mburula ?

Tumesema sasa unyonge basii! Haya tafsiri unavyotaka wewe.
 
Tunatakiwa tusiwe wanyonge tutembee vifua mbele CCM ndio tunaotawala hii nchi.

Mpo hapo mlipo?
 
Vikosi vya ulinzi vya Chadema Red Brigade, vijipange Kalenga na Chaguzi zijazo hali haitakuwa salama kwetu kama ambavyo imekuwa siku zote, Wafuasi wa Chadema wamekuwa wahanga wa green guard kila uchaguzi, na sasa Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi la Green Gaurd ambaye ni Mwenyekiti wa CCM amesharuhuri wanaCCM na Magreen wauwe.
 
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.

Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.

Source: News, TBC1

Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.

Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?

Hii kauli ni "extended version " ya ile ya WAPIGWE TU ya Bwana PINDA.

Ile waliambiwa Polisi, hii wameambiwa Wanachama na Wapenzi wa CCM. Yaani Polisi na Wapenzi wa CCM wawapige CDM.
 
Watu wote wapenda AMANI,hasa wanaharakati wa Tanzania wasipolisemea hili Tamko la Rais,wajue kabisa wanakalibisha mauaji ya kimbari Tanzania,ninaomba mijadala ifanyike ya wazi kabisa kujadili hii kauli inayotolewa na Rais wa nchi.Wamwambie lazima aombe radhi kwa kauli yake,maana kauli yake ni sheria kamili ambayo itatekelezwa na watu wote.

...well said !!!!
 
Uongozi wa TBC ulishatoa taarifa serikalini kuwa mitambo yao ina tabia ya kubadirisha kauli za watu hasa viongozi wa juu, na kuwafanya wasikike tofauti na walivyoongea.
Hivyo basi tunapenda kuwahakikishia watanzania kuwa, rais hakupata kuongea kauli yakuwa wanaccm waanze kuwapiga wapinzani mahala popote wasisubiri polisi, ni bahati maya kuwa tatizo hilo la kiufundi, safari hii limeathiri kauli ya rais.
Wizara imeshaongea na makandarasi kutoka China na Madagascar ambao wataingia muda wowote kuanzia mwezi October kwa ajili ya kushughulikia tatuzo hilo.
Tunawaomba radhi wananchi kwa usumbufu uliojitokeza baada ya kauli na maelezo ya rais kuharibiwa na mitambo.

Imetolewa na Kurugenzi ya mawasiliano hapa kwenye Magogo.

Mkurugenzi wa hayo mawasiliano.
Saa ya silva Rey na Mamuu.
 
Wapi nimebabaika? Nyie ndio mnababaika mnaogopa nguvu ya mabadiliko mnachagua intimidation. Bado unababaika unaposema kuwa alikuwa anaongea kama Mwenyekiti wa CCM.....poor you

Nimefuatilia vyombo vyote vya Habari ni kweli amezungumza ndani ya Kikao halali km Mwneyekiti akatoa mifano ya Tindikali Igunga na kutobolewa Bisibisi huko Kahama, sasa mlitaka WanaCCM wasijibu. km jicho kwa jicho ndio hapo sasa

CDM CCM.jpg (poor you) haya mambo ya kumuita mwanamume mzima PUA YU
 
Hii kauli ni "extended version " ya ile ya WAPIGWE TU ya Bwana PINDA.

Ile waliambiwa Polisi, hii wameambiwa Wanachama na Wapenzi wa CCM. Yaani Polisi na Wapenzi wa CCM wawapige CDM.

...very sad !!

Hii kitu aliyosema ni sawa na kuruhusu vurugu !!!!
 
Nadhani ni maneno ya watu tu mitaani, inawezekana kweli rais wetu Mh. Jakaya Kikwete kuwa ametoa agizo kuwa wana ccm waache unyonge na wajibu mapigo pale wanaposhambuliwa. eti watumie silaha yeyote iliyokaribu kama bunduki, panga, kisu, tindikali, meno au kucha? nasema siamini kwakuwa kauli hii angeitoa Knana, Nape au Mwigulu ningeipuuza kwa kuwa najua hawa ni wendawazimu, lakini kinachonipa shida kauli hii imetolewa na kiongozi mkuu wa nchi, kwa maana nyingine kauli yake ni sheria,hivi ni kweli nchi yetu ndio hatua iliyofikia hii ya kuwa na ombwe la uongozi? hapana hakusema hivyo labda alisema kuwa vyombo vya dola viwashughulikie kwa mujibu wa sheria wote wanaojaribu kufanya uharifu kwa kisingizio cha siasa, labda wamemnukuu vibaya, inakuwaje mtu mwenye kauli juu ya vyombo vya dola kutoa kauli hiyo? sawa hivi kama ccm watatii kauli hii ya rais na mwenyekiti wao na wakaanza kuwaumiza wapinzani ni polisi gani anayeweza kuwazuia wakati amri hii katoa amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Sasa nataka kuwambia wafuasi na wanachama wa upinzani kujiandaa kupambana na si kutegemea polisi, polisi tayari washafungwa mikono kwa kauli hii ya rais, pia napenda niwatoe hofu wapinzani kuwa ccm ni wachache na waoga hawawezi mbilinge, na kwa kuwa kiongozi wao ameshawamuru kuwapiga, kuwajeruhi na kuwaua wapinzani nasi hatuna mtetezi tupambane mpaka mataifa ya nje yaje kuamulia, kote tunaposikia machafuko ndivyo walivyoanza kwa kuwa kuwa na viongozi walevi
 
Peter Kibatala anaandaa kukamilisha mashtaka na anakwenda Mahakama kuu kufunguwa kesi ya kikatiba dhidi ya huyo Vasco da Gama.

Hizi pumba zako subili uende ukawajibu majaji kesi ikishaaiva

kwani jamaa si ana kinga ya kushitakiwa au inakuwaje hapo?
 
Aisee me mwenyewe mpaka mda huu najiona nipo ndotoni.
Nimejaribu hata kujifinya, lakini akili haikubali kwamba nimemwona akiyatamka hayo kwenye taarifa ya habari.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Asamehewe bure kwasababu alighafilika baada ya kupewa na kuisoma report ya mwenendo wa chama hasa katika chaguzi ndogo.

Amemaanisha tuandae na kunoa mapanga yetu, na kununua pinde na mishale, fita ni fita muraaa, mwenye mkuki ahayaaaa mwenye kombeo bebabebaaa aruta continuaa
 
uRAIS ni kipaji mkuu,jamaa kipaji chake ni kucheka na kutabasamu,lakin kang'ang'ania uRAIS unategemea nini.?
 
Back
Top Bottom