Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Ccm wenyewe wanaofurahia kauli hiyo hawana watu sa sijui vita ipi mnaiweza,leteni utani na kauli ya mzaifu wenu halafu mje muanze ndo mtajuta,viwatu vyenyewe eti ni msalani,the big show,nshoza na lusumo!mjusi msimuhesabie yule ni mwizi wa sufuria za wali kwenye nyumba za watu.
 
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tanzania anawaamrisha green guard waache uoga!!!
Awapatie bunduki maguruneti na vifaru kabisa wapige kazi vizuri...
 
Ndio maana sitashangaa siku nikisikia mapinduzi ya kijeshi Tanzania. .. huyu raisi is totally out of his mind...
 
hivi hawa viongozi wa nchi hii wanatupeleka wapi? ni juzi tu waziri wa nchi alitoa tamko ya kuwa wapigwe tu. leo rais wa nchi nae anatoa tamko kama hili hiv tutapona kweli? nchi hii imeshakuwa sio ya kutawaliwa kisheria tena bali ni kiubabe. hivi leo ukiwaruhusu watu wapigwe ao wapigane kisa itikadi za vyama matokeo yake ni nn? nchi imewashinda hii had mnachanganyikiwa na kutoa matamko kama hayo kiongoz mkuu wa nchi, cpati picha uchaguzi mkuu 2015 itakuwaje kama atujauawa wote cjui,
 
Ndio maana sitashangaa siku nikisikia mapinduzi ya kijeshi Tanzania. .. huyu raisi is totally out of his mind...

Mkuu Tuko nadhani wewe ndio uko out of your mind ... hizi propaganda za kumchafua Rais wa Tanzania tumeshazibaini, na hatutaziacha ziendelee!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tuko nadhani wewe ndio uko out of your mind ... hizi propaganda za kumchafua Rais wa Tanzania tumeshazibaini, na hatutaziacha ziendelee!


huna sababu ya kumwita mkuu mbeba boksi huyo
 
Last edited by a moderator:
Yeriko hampaswi kumsuta JK kwa kauli yake, mnapaswa kujiuliza kama aliyoyasema ni ya kweli na kamani ya kweli basi muone umuhimu wa kubadilika amani ya Tanzania haitalindwa na rais KIKWETE au CCM peke yao, ni jukumu la taifa zima mkiwemo ninyi mnaolalamkiwa.

Ni hivii,kauli hii mie naanza kifanyia kazi kuanzia jumanne trh 18
 
sheria yatakiwa ichukue mkondo wake kwa mtu yeyote inapobainika kukivunja kama wafuasi wa chadema walivunja sheria kwa kuvamia wana ccm basi jeshi la polisi liwajibike hii ndo kazi yao wanayolipwa na kodi za watanzania, kumbe ndio mahana ccm arusha wanawatumia majambazi kama wakina mjusi kukata wafuasi wa chadema mapanga na amna atua yeyote inachukuliwa kumbe ruksa toka kwa wakuu wa nchi? owk tumewaelewa wakuu ila mjue ya kuwa amna atakae onewa tutatwangana sawa sawa kama mlivyo turuhusu tuone matokeo yake. THIS IS BULSHIT,
 
Mkuu thatha hapo kwa Wachaga sijakuelewa hebu fafanua.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
ukitaka kujua hasari ya kauli hii kisheria ndugu msalani na lusungo ebu mtafute Proffesa ISSA SHIVJI mfanye naye mahojiano,ndio mtajua hatari ya kauli kama hii kutolewa na rais wa nchi tena kwa msisitizo mkubwa kuwa mimi sitajari hata waandishi wakiacha habari zote wakaandika hii habari oky.
 
Watu wenye mtindio wa ubongo ndiyo wanaoongza Tanzania,sasa mnategea nini wakati anatoa hili tamko tena kwa kusisitiza,matahira walikuwa wanashangilia kwa nguvu zote,na wengine wameenda bar kujipongeza kwa kauli ya TAAHIRA.
 
sheria yatakiwa ichukue mkondo wake kwa mtu yeyote inapobainika kukivunja kama wafuasi wa chadema walivunja sheria kwa kuvamia wana ccm basi jeshi la polisi liwajibike hii ndo kazi yao wanayolipwa na kodi za watanzania, kumbe ndio mahana ccm arusha wanawatumia majambazi kama wakina mjusi kukata wafuasi wa chadema mapanga na amna atua yeyote inachukuliwa kumbe ruksa toka kwa wakuu wa nchi? owk tumewaelewa wakuu ila mjue ya kuwa amna atakae onewa tutatwangana sawa sawa kama mlivyo turuhusu tuone matokeo yake. THIS IS BULSHIT,

....well said !!!

....nilikuwepo eneo la Mapambano Arusha sisiemu inalindwa na majambazi !!!!
 
Back
Top Bottom