kama kakinukisha tujulishane .
JK waajabu. Kajichoka, kachoka familia yake, marafiki na nchi yake. Iyo kauli itamgharimu na kwa cheo chake italigharimu taifa. JK ameenda uingereza kuwambia wazunngu wapinge masoko ya tembio kwanza la sivyo meli za kinana zitaendelea kwenda maana soko lipo.
kwako TZ inayojielewa ni ya tabaka moja la watu kuchoma watu nondo machoni...
kumwagia watu tindikali....
na kukata watu mapanga?
kujielewa ni kuwa mnyonge dhidi ya wengine?
Unahitaji msaada mkubwa wa fikra
wa ajabu kusema tusiwe wanyonge?
kama imekuuma jiue tu ila unyonge sasa basi
amesema wana CCM tusiwe wanyonge...
kukinukisha mmekinukisha nyie hivi inakuingia rohoni kumchoma mwenzio nondo ya jicho?
inakupendeza kumkata mtu na panga?
unyonge ni kama laana..
hatutakuwa wanyonge tena haki zetu kama binadamu zinapopokwa na wahuni...
Amani ya Nchi lazima ilindwe kwa gharama zozote!
kwahayo uliyo andika inamaana vyombo vya usalama vimeshindwa kazi ndio maana amesema hivyo?
Au yeye ameshindwa kutumia vyombo hivyo?
Acha kuhangaika na sisi
Tuachie wenyewe,,,,
Hatutakuwa wanyonge...
mnajulikana nyie wauaji munaua kuanzia wafugaji wakulima wananchi wasio na hatia leo mwenyekiti wenu kadhihirishia umma kwamba yeye ndie anayewatuma amechoka kuamrisha amri nyuma ya migomngo ya wengine leo kaamua kulitangazia taifa wananchi tuuane na kuuawa na serikali ya kikwete
umefika wakati aondoke ikulu yeye anachochea wananchi wauane mnafiki mkubwa mbona hajakeme bomu l mwiguru la Soweto , mbona hajakemea akina mujusi wanakata watu mapamnga mbona hajakemea wauaji wajombe wana ccm waliomvunja taya kada wa chadema mbona hajasema shinyanga nani alianzisha ugomvi ubagwe,mbona hajakema polisi waliomvurumisha matumbo mwangosi, waliomteka ulimboka raisi mnafiki mchochezi wa vita hafi kuwa ikulu tumemvumilia sana yatosha
Siyo sirisijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
amewataka wana CCM kuacha unyonge. hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? kwa kuua au?
na amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
source: news, TBC1
Wananchi na wanaharakati wa haki za binadamu tudai tafsiri ya hii kauli ya kiongozi mkuu wa nnchi au aifute haraka la sivyo itasababisha mauaji makubwa huko tunakoenda. Lakini pia ni vizuri na jambo jema viongozi wetu wakuu wakapima kauli zao wanazotoa maana zinaweza kuhatarisha amani ya taifa letu. Ee mola tuepushe na kauli kama hizi