Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.
Wewe ni mgonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini!
Naunga mkono kauli ya JK, ccm kama ilivyo kwa raia wengine wana haki ya kujilinda. Ningeshangaa kama JK angesema ccm wawe wanyonge. Kazi ya kujilinda sio jukumu la polisi ambao ni wachache kukidhi mahitaji, ni kazi ya kila chama na kundi la watu wenye nia moja njema. Kwanza JK kachelewa kutoa hii kauli kiasi cha watu kupoteza maisha kwa unyonge. Baba aliniambia usichokoze ila ukichokozwa na mchokozaji akadhamilia kukujeruhi, usiwe mnyonge. Pigana naye then baba yake na mimi tutakaa kuongea nakumaliza.
Hongera JK, tuko nyuma yako.
sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
amewataka wana CCM kuacha unyonge. hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? kwa kuua au?
na amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
source: news, TBC1
viva rais wetu...
viva mwenyekiti wetu....
tunaukataa unyonge kwa nguvu zetu zote... kwa mioyo yetu yote na kwa akili zetu zote...
binadamu ana kikomo cha uvumilivu na hatuwezi vumilia madhila makubwa namna hii yawapate wenzetu
nilimwambia Baba V kuwa safari hii KALENGA ccm hatutakuwa wanyonge....
hata sisi tutajilinda dhidi ya hawa janjaweed wa kijani,ukizingatia mmeshabaki vijana tena dhaifu kwa kumezeshwa unga na vile vibibi njaa visivyojitambua! awamu hii jino kwa jino tu,nilitegemea kauli hii angeitoa hata kipindi kile Machemli na Kiwia wanakatwa mapanga ningemwelewa! sasa muraa huu ni wakati wa kunoa sime zetu kwa ajili ya kujilinda na tuufate ushauri wa prof lipumba wa kuanza mazoezi ya judo!!!!
ningeshangaa sana kama usingesema maneno kama haya.
kwa ujumla hakuna KOSA kjbwa walilowahj kufanya watz kama kumchagua Kikwete kuwa Rais
huwezi kushangaa kwakuwa inajulikana kabisa mtu aliyejeruhika atalia vipi...
Unyonge sasa basi mwenyekiti wentu mpenzi Allah ampe heri ametutoa wasiwasi...
Lazima tujenge jamii inayoheshimu haki na uhuru wa watu wake.
utasema mengi
CCM ndo chama pekee kinachoweza kutunza amani ya taifa hili
kiukweli kasahau kabisa kama yeye ndiye kiongozi mkubwa kabisa wa hii nchi. kauli yake ndio kauli kuu ya nchi. sasa yeye anaposema hayo kwakweli nimeshindwa kabisa kumuelewa
sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
amewataka wana CCM kuacha unyonge. hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? kwa kuua au?
na amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
source: news, TBC1
ww ni mwe...hu na hujielewi!!! kakoloeulale..
amani pasipo ustawi wa taifa ni zaidi ha utumwAaa
kwa watu wa type wako tusitegemee tanzania inayojielewa