Wana CC wote nawatakia sikukuu njema

Wana CC wote nawatakia sikukuu njema

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,589
Habari wanajamvi wote

Nawatakia sikukuu njema ya nanenane (88) kwa wale
wakulima na wazalishaji wa nafaka na mazao mbalimbali
Mungu awafanikishe kwenye mazao yenu mpate masoko
na mzidi kufanikiwa kila mwaka MFANIKIWE


nanena2.jpg

Na wale wenzangu ndugu zangu marafiki zangu nanyi
pia nawatakia sikukuu njema ya Eid mfurahi, na
kusherekea vizuri kwa amani na utulivu ila mumche
Mungu wenu na muache dhambi ambayo ni mauti
na mtaukosa ufalme wa Mungu. Furahini nyote
marafiki zangu wa cc pokea kagift hako.
eid2.jpg

Nawakilisha tu na kuwapenda pia.


cc: watu8 (Babamkubwa tualikane) Bujibuji, Mamndenyi, Arushaone pamoja na mkeo Lady doctor, stevoh, Passion Lady (my cousin), Filipo, Erickb52 (nasubiri mwaliko), Mentor, Mwita Maranya, Mtambuzi (yangu macho), KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Bishanga ( sijui kama utapona 2013), Kipaji Halisi (i miss u), saudari, Paloma (nasubiri mwaliko), sweetlady, FirstLady, Lady Unbreakable, Donn, Nicas Mtei (umepotea), Heaven on earth, amu (nasubiri mwaliko), Smile, mimisa, measkron, (mama mkubwa), Mrembo by Nature, christina Denzi, Christine, mwaJ, Madame B (tuko pamoja), madame X, Nyamayao, The secretary, Lady Na
marafiki zangu wote nisiowajua na ninaowajua pokeeni kagift hako.
 
Last edited by a moderator:
Bibie ladyfurahia umeandaa nini katika sikuku hizi? ningependa kuwa mgeni wako siku mbili tatu hizi kama Mentor hatokumaindi!!!:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Last edited by a moderator:
Yeye ana neno kabisa na anapenda wageni na kwa vile wewe jirani yake unakaribishwa sana nimeandaa makande na mlenda wa kufa mtu yaani ule utokao dodoma wenye mchanganyiko na mbogamboga si unajua tena tunaazimisha KILIMO KWANZA
Bibie ladyfurahia umeandaa nini katika sikuku hizi? ningependa kuwa mgeni wako siku mbili tatu hizi kama Mentor hatokumaindi!!!:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Mhmm yan John ciena ndo shemeji eti Ladyfuraha mimi naomba unipigie simu!
 
Last edited by a moderator:
sio shem wako bhana ni mlinzi wangu yaani bodigadi tu nimemuomba aje Tanzania ili anilinde na sikukuu hizi kwani nimemsikia kaka Mtambuzi anataka kuleta jeshi toka uarabuni kunidhuru hivyo nimeona nijihami mapema, si unajua nilishtukia alipotaka kuingiza unga wa sembe toka SA?
Mhmm yan John ciena ndo shemeji eti Ladyfuraha mimi naomba unipigie simu!
 
Last edited by a moderator:
nahitaji unialike best kwani unafanyia wapi sikukuu tualikane jamani
 
Ndo nini wewe ladyfurahia kumualika mai waifu wangu Paloma bila ya mimi mwenye mali kualikwa..? Halafu ninaona umebananisha jina lake na saudari unajaribu kumfanyia deti fiksingi mai wafu wangu..? Umechukua takrima eeh..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom