This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,189
- 5,433
Tatizo watu wanaleta elimu humu bila kutuambia chanzo cha hizo assets zisizohamishika. Zilipatikanaje.Mkuu unacho sema ni sahihi kabisa,Matajiri wengi ni Mikopo na bila hiyo huwezi kuendelea financially but tunaanzaje sasa kupata hata ghorofa 1 pale Kariakoo.
Ili upate hela lazima uamini watu wanachapa kazi na si vinginevyo. Lkn ukweli konekshen za utajiri Ni nyingi Sana. Utajiri wa haraka.