Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Wanaume hata na sisi wapo fake. Utamkuta mwanaume kasuka, katoboa masikio mpaka pua, na nywele wengine zamani tulikuwa tunasema wameweka kalikiti.
Kama mwanaume chagua anayekuridhisha hao wengine waachie watakaona wanawafaa.
 
Wanaume hata na sisi wapo fake. Utamkuta mwanaume kasuka, katoboa masikio mpaka pua, na nywele wengine zamani tulikuwa tunasema wameweka kalikiti.
Kama mwanaume chagua anayekuridhisha hao wengine waachie watakaona wanawafaa.


kila week kufanya facial na scrub! alafu mnakuja kupayuka yuka ovyo huku
 
Wanaume hata na sisi wapo fake. Utamkuta mwanaume kasuka, katoboa masikio mpaka pua, na nywele wengine zamani tulikuwa tunasema wameweka kalikiti.
Kama mwanaume chagua anayekuridhisha hao wengine waachie watakaona wanawafaa.
Sasa babu na huyo anaesuka na kutoboa sikio naye ni mwanaume??
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??


Wanawake wana roho ngumu wanapoangalia muvi za kikatili na wanatabasamu kabisa ila cha kusikitisha unamkuta mwanaume anatoa machozi pale anapokuwa anatizama muvi za kawaida kabisa ...
 
Sasa babu na huyo anaesuka na kutoboa sikio naye ni mwanaume??
Mzazi wake akiulizwa ana watoto wangapi wa kiume anamjuisha na yeye kwenye jibu.
Maigizo yamezidi na maadili yamepungua na hili ni kwa jinsia zote mkuu.
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
Daaa...nimecheka saana
 
Aiseeeeeh,
Hapa sielewi, maana mwanamke anapaswa awe vizuri.

Wewe kama Mwanaume, hauna hela acha porojo, mwanamke lazima awe msafi , ajipambe , apendeze.

Ila, issue ya kuolewa siyo lazima kwa mwanamke kama anajitambua kwa anachokifanya.

Any way, ukilamba chumvi ukakuta pachafu usilete kilio maana, wewe ndiye hutaki kumhudumia mwanamke katika usafi.

Mkuu hayo mapovu yote ya nini.
 
Mkuu hayo mapovu yote ya nini.

Mwanaume, lazima amhudumie mke ili huyo mke awe na confidence kwa kumhudumia na pia ukimhudumia mwanamke na ukamfanya awe anajithamini hayo mapambo ya kupitiliza hutayaona kabisa.

Tatizo, wanaume wengi wanataka kuishi maisha ya vivulana.
 
Mtoa mada na dhani ujagundua kusudi la kuumbwa kwako hatujaumbwa , ili tuoe wala kuolewa hilo tambua kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa swala la kujipamba kwa mwanamke rejea Timothy 1 2:9-10 vivyo hivyo na wanawake wajipambee kwa Adabu nzurii... Usishangae tunapojiremba mkuu pambana na hali yako.
 
Sawa Mkuu ngoja Nifanyie Kazi Ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila.kumbuka, neno mpende limebeba mambo mengi, mfano, mpe mahitaji yake yote kama ya kwenye godolo Dodoma na mahitaji ya material things.

Ukitimiza hapo , mheshimu mfanye awe rafiki yako (a wife and a friend to you) basi utaishi kwa raha sana maisha yako yote.

Karibu , Tanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom