Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

hahhahahahhhaha sasa hapo wakiskia set ya nguo za ndan 25000 mijicho inawatoka !pyeee
Mme mwelewa anajua siku ya shoping nguo za ndani anajua abebe sh ngapi kwani unanunua kila siku no.kuna mwingine unaweza kuta kavaa vizuri mamayangu sidiria lake sasa aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa , mkuu, hapo ndipo pana matatizo. Sisi wanaume wengi tunakuwa wabinafsi.
Utakuta walipendeza huko mtaani anawatamani lakini hizo tamaa amnunulie mkewe apendeze haapana mie hapo huchoka, na kupendeza si lazima uvae vitu fake hapana kawaida tu ukitoka kila anayekutizama ni whao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
Hahaaaaaaaa hapana nakugawa sio kwa mchambo huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
Aiseee wengin akimuona lijitu kweny shati utasikia huyu ana siku haigiz,movies zako nzur,huku wewe hata hujui nan,yy atakwambia kwaaza kuigiza lin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI NILIKUWA NA BINTI MMOJA HV ASEH YEYE NA VIPODOZI NI KAMA NGUO NA MWILI.. SASA KAZEEKA SURA, AHAHA.. UREMBO NI MUHMU, LAKINI WEKENI MIPAKA.. USAFI NDYO KITU CHA MSINGI, ZINGNE MBWEMBWE
 
Haaaaaa kwakweli nimecheka sana huu uzi ni noma na mala nyingi mtu anachotamani hapati

IRON LADY!!!!
 
Ukiona wanatafuta watu wa kuwaoa ujue tayari mastress ya kutumika kipindi cha ujana wao na wamesahau mpaka idadi ya waliokula papuchi zao hawa wa sasa ujana wanatafutia pesa uzee ndio kuolewa!
 
kuolewa siyo lazima

Hapo tu ndiyo nakuunga mkono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom