Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Aiseeeeeh,
Hapa sielewi, maana mwanamke anapaswa awe vizuri.

Wewe kama Mwanaume, hauna hela acha porojo, mwanamke lazima awe msafi , ajipambe , apendeze.

Ila, issue ya kuolewa siyo lazima kwa mwanamke kama anajitambua kwa anachokifanya.

Any way, ukilamba chumvi ukakuta pachafu usilete kilio maana, wewe ndiye hutaki kumhudumia mwanamke katika usafi.
mkuu Nielewe sio kwamba nakataa mwanaumke kujipamba ,Hapana kujipamba kwa mtoto wa kike ni moja ya sifa zake na wameumbiwa mapambo

Ila nachokataa ni kule kujipamba kuliko pitiliza mpaka akapoteza uhalisia wake

Je unapenda wanawake wanaojichuna ngoziiiii?
Wanawake wenye nywele za bandia ?
Kucha za bandia?

mwanamke akijipambe ila asitoe Uhalisia wake
 
kujiremba hakukataliwi ila kusipitilize mpaka ikawa ni shida
.mfano wakuta mwanamke kila kitu Cha mbandia ,kucha mbandia nywele bandia kila kitu mbandia sasa mtu kama huyu mke au mdoliiiiii...
Mpende ambae hana hayo mambo. Sasa ukianzisha uchumba na mwanamke kama huyo anayetumia hayo makitu unategemea aje kuacha ukimuoa?
 
Sisi wanaume ni pasua Kichwa usisahau kuweka na vivulana ni ngumu sana kuelewa tunachotaka.

Japo Mimi Poise, najielewa ninachotaka na nimekipata kutoka Tanga.

Nashukuru sana, Mkoa wa Tanga kuwa Tanzania.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mwanamke kuringa mwisho miaka 30 ukizidisha hapo utaishia kuitwa kisicho riziki ....
 
Kumbe issue kubwa ni ugumu wa maisha? Yaani mtu aache kujipenda kwasababu wewe huna uwezo wa kuhudumia?
Mwanamke lazima ajipende, awe msafi na apendeze.
kupendeza Hakukataliwii wallah kinachokataliwa kujifake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom