Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Wamepoteza sifa japo wanatamani kuolewa

Nyoka_mzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2016
Posts
3,695
Reaction score
5,548
Wanawake wengi wamekuwa wakitamani sana ndoa ila wanajikuta wakitumika bila kuolewa, sababu wamejitengenezea mazingira ya kutumika bila kuolewa.

Na huwa hawajiulizi kwanini wanatumika yapo makosa mengi wafanyayo wanawake eidha kwa kujua au kutokujua au wanajua kisha wakawa wanayapuuzia. Moja wapo ni hili la kufake, wanawake wengi wamepoteza uhalisia kuanzia umbo sura ngozi mpaka na nywele.

Hakuna mwanaume anayependa mwanamke anayewekeza pesa nyingi kwenye Kujipura na ndomana utakuta matajiri wake zao ni wa kawaida sana.

Wengi wetu tunapenda wanawake ambao ni simple wenye kumudu hali yeyote ya maisha, wenye mawazo ya kutafuta si kutumia.

Wakati mwingine unamkuta mwanamke jinsi alivyojipura, yaani ukimtathmini unakuta ndo mshahara wako wa mwezi yeye ndo kaumalizia kwenye urembo siku ile.

Mengine mtaongozea.
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
Nimecheka sana Chalii! Unakutana na demu shabiki wa hip hop, tena zile ngumu, mpk zile ngoma wewe hujazielewa, yeye kazielewa kitambo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40]
 
Aiseeeeeh,
Hapa sielewi, maana mwanamke anapaswa awe vizuri.

Wewe kama Mwanaume, hauna hela acha porojo, mwanamke lazima awe msafi , ajipambe , apendeze.

Ila, issue ya kuolewa siyo lazima kwa mwanamke kama anajitambua kwa anachokifanya.

Any way, ukilamba chumvi ukakuta pachafu usilete kilio maana, wewe ndiye hutaki kumhudumia mwanamke katika usafi.
 
Aiseeeeeh,
Hapa sielewi, maana mwanamke anapaswa awe vizuri.

Wewe kama Mwanaume, hauna hela acha porojo, mwanamke lazima awe msafi , ajipambe , apendeze.

Ila, issue ya kuolewa siyo lazima kwa mwanamke kama anajitambua kwa anachokifanya.

Any way, ukilamba chumvi ukakuta pachafu usilete kilio maana, wewe ndiye hutaki kumhudumia mwanamke katika usafi.
Kwani usafi kama usafi mkuu una gharama?
 
Honestly napenda mke wangu aje kuwa simple, strong and figher...Mwenyezi Mungu nijalie! But ni vigum wanawake wa kizazi hiki kuepuka kujiremba hata kule vijijini siku hizi nao wanajiremba tu.


samahan mkuu unapoongelea kujremba me kidg huwa mnanaha kias... mie najua urembo ni usafi mwa mwili kujijal mwili wako na kujali kila kitu... yaan hebu dadavua.. apart kuoga na kupiga mswak mnataka tuweje
 
Demu anatakiwa awe mshamba mshamba fulani hivi!

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!
Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._
_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??
Pata picha ya Lara one kwa mfano.
 
Wengi humu wanasema wameolewa kumbe wamejimuvuzisha



ahhahahaha pole sana sana mkuu! mie kama [HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] mume ndo alikua anamzuka sana sana wa kunioa... yaan usidhan wote

tunajirahisisha kuolewa aic!... kuna wanaume wengne anajua kbs hii almas anafight akuoe mapemaaaa! na sio wanwake

wote wanataka kuolewa uwe unaelewa hilo! me had mama ngu namwambia mama besdei tu yu yangu kuna watu watakuja hapa

alishangaa sana akasema ww huyu!!!!! sikuwah fikiria kuolewa... nilikua napenda sna kuzaa tu by gal bas....
pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom