Wewe ndio umekuja kutengua torati.
Sasa nikutahadharishe kile nikichokuambia kule kufikia hatua ya kuonana na malaika wako wawili sio kitu kidogo,hiyo ni imani kubwa. Sasa ukileta janjile kwamba utakuwa waluwalu huwezi kuwa mwema,basi ishia hapo ulipoishia kwenye meditation uliposhia panatosha.
Lakini ukiendelea mbele kwenye yale mafunzo makubwa na bado ukawa na mambo ya ovyo,soon utakuwa kichaa. Usiwaone vichaa wote huko barabarani ukadhani wamelogwa au wako tu hivyo. Wengine wali-agansit maswala kama hayo ya kiimani kama unavyotaka kuyachezea wewe.
Ndio maana nikakudirect kwa yule mwamba ili akuelimishe zaidi.
Vinginevyo ukileta ujanjile wako utapotea. Usirahisishe kila jambo