Siku shemeji yako akimtimua dada , ndio utajifunza kwa mtiniHakika, ni ego nyerevu ndo iongeayo si mimi😂
They're doing it for fun.Kufanya kazi kwa bidii sio tu Africa hata huko kwa wenzetu
Unataka kusema watu weupe wanabweteka ila mabomu ya nucleur yanajiunda, magari yanajitengeneza viwandani yenyewe?
Mbona kama sisi waafrika ndio tumebweteka wenzetu wanafanya kazi kama punda kutuzidi
Ni lazima hata wahadzabe wanafanya , sio hakun mtu anakuja kula kwa mama yako; Kila mtu anapambania maisha yake .Another lie.. 😂
Hkuna wazungu wanafanya kazi kama nguruwe ?Nenda site ukaoneNi kweli ila wao hawafanyi kazi kama nguruwe. Kazi huwa kazi pale inapokuwa na conditions.
Nimekuelewa na uko sahihi ila maana yangu ni tofauti kidogo nadhani ukitulia utani elewa.Hkuna wazungu wanafanya kazi kama nguruwe ?Nenda site ukaone
Hata mimi nimekuelewa . Kwa sababu sisi tunakariri hzi kazi ngumu , ambazo hata maslahi ni kiduchu .. kwa mfano : mtu akiwa analima au kpiga zege anajiona yeye ndiye anafanya kazi na wengine anawaona kama wavivu .Nimekuelewa na uko sahihi ila maana yangu ni tofauti kidogo nadhani ukitulia utani elewa.
Wamatumbi hawa fanyi kazi wanafanya utumwa labda niieweke hivyo! Ila hata hapo bado kutakuwa na Misconception
Hahahaha it has nothing to do with this.Mmh...! Ndio wewe tena? Kile unachokiomba kule mbona inakuwa sio sample ya wewe?. Wale ni watu WATULIVU sana. Wenye kupewa uelewa mkubwa ksbb wanajua mengi. Au kule unamuombea mtu sio wewe?
Haswaa,Hata mimi nimekuelewa . Kwa sababu sisi tunakariri hzi kazi ngumu , ambazo hata maslahi ni kiduchu .. kwa mfano : mtu akiwa analima au kpiga zege anajiona yeye ndiye anafanya kazi na wengine anawaona kama wavivu .
Huwa ina faida kubwa sema wamatumbi masikio yetu yanapenda kusikia unyonge na udhaifu, ndio maana usishangae tukikushambuliaAnd nimetokea kujipenda sana baada ya kugundua hili jambo.
Nimeisha pitia stage zoote za initiation katika fani ya kushambuliwa ndo maana huwa na pokea kiumbe jinsi a navyo kuja. So mimi ni another version of Lissu kimtazamo zaidiHuwa ina faida kubwa sema wamatumbi masikio yetu yanapenda kusikia unyonge na udhaifu, ndio maana usishangae tukikushambulia