TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
- Thread starter
- #21
Tukiambiwa Wabongo IQ yetu ndogo tunalalama mnaona tunatukanwa kumbe ni kweli wengi tuna akili ndogo, hivi wewe mleta mada unawajuwa Wamarekani au unawaona tu kwenye CNN? Je uajuwa hata stlye yao ya uandishi? yaani Mmarekani aandike broken English?
CC: Nyani Ngabu
Chanzo: wavuti
Last edited by a moderator: