Wamarekani watamani Magufuli awe rais wao

Wamarekani watamani Magufuli awe rais wao

Tukiambiwa Wabongo IQ yetu ndogo tunalalama mnaona tunatukanwa kumbe ni kweli wengi tuna akili ndogo, hivi wewe mleta mada unawajuwa Wamarekani au unawaona tu kwenye CNN? Je uajuwa hata stlye yao ya uandishi? yaani Mmarekani aandike broken English?

CC: Nyani Ngabu

Chanzo: wavuti
 
Last edited by a moderator:
Na wewe acha kutupotezea humu ndani. wangejua nchi ya afrika ni moja wangewezaje kutuma ubalozi wao kwenye nchi tofautitofauti za afrika. na then vip kuhusu umoja wa mataifa unataka kutuambia kwao wanatambua africa ni nchi moja??
Hiyo ni kweli hayo mengine kwa sasa wanayajua kwa sababu ya utandawazi ni Kama sisi tunavyoijua uingereza walio wengi tunajua england ni nchi moja
 
Habari za mtu huyu zimeenea mpaka nchi ya uzayuni.
 
Nina wacwac sana kama hizo mails ni za Wamarekani, as far as i know shule zao huko hawafundishwagi habari za nchi za Kiafrika, wao wanajua Africa ni kama nchi 1 tu. Nipo tayari kupingwa but siamini kama hayo tuliyosoma hapo ju ni ya raia wa USA, Labda hao watu wawe ni viongozi wa nchi hiyo na sio raia wa kawaida.

Wewe kuandika kwenyewe shida halafu utayajuwa ya Merekani?
 
Ujinga mwingine wa aina yake, watanzania nani aliyetuloga? Kwa hali iliyopo nashauri tutambikiwe kila MTU kwa kabila lake,
 
Huu sasa ni upuzi wa degree ya juu kabisa,

Naona mnaanza kutengeneza habari, hebu acheni kujitekenya
 
Daaah kweli Mkuu na nimaeamini watu Wa nchi hii wanamihemuko na hawajielewi hawajui america raisi ni institution sio mtu

Mleta mada amekosea, ni Mererani na siyo Marekani.
 
naona unafananisha sisimizi na tembo....ivi unajua screening inayofanyika hadi kumpata Rais wa Dunia?naikubali kazi inayofanywa na magufuli ila unapoongelea marekani ni Dunia nyingine kabisa.
 
Habari zimfikie tingatinga popote alipo huko magogoni kuwa sasa sii afrika tuu bali ni dunia nzima, akaze uzi hata mataifa yanayojiita yameendelea yanajifunza kutoka kwake.
 
Sahihisho Henry Ford hakugundua gari bali aligundua assembly line ya kutengenezea magari, gari liligunduliwa na Karl Benz ambaye ndiye aliyepatent gari la kwanza Duniani Mercedes- Benz ambapo Mercedes lilikuwa ni jina la binti yake!

Na alikuwa myahudi maamaee
 
Nina wacwac sana kama hizo mails ni za Wamarekani, as far as i know shule zao huko hawafundishwagi habari za nchi za Kiafrika, wao wanajua Africa ni kama nchi 1 tu. Nipo tayari kupingwa but siamini kama hayo tuliyosoma hapo ju ni ya raia wa USA, Labda hao watu wawe ni viongozi wa nchi hiyo na sio raia wa kawaida.

wewe jamaa ni muongo aisee ingekua zamani zile hamna tv wala internet ungetuburuza vibaya mno.
 
Back
Top Bottom