Wamarekani watamani Magufuli awe rais wao

Wamarekani watamani Magufuli awe rais wao

Yani wewe ni kiazi kweli, huko Marekani mbali nenda South Africa tu raia wengi hawajui lolote kuhusu nchi zingine na Wazuru wengi mpaka leo sikukuu ya Idd hawaijui wanasema ni Xmass ya wahindi, mijitu mliokosa exposure ni shida tupu, kwa akili yako fupi unadhani Great Britain raia wake wote wanajuwa kama nchi yao inaitwa Uingereza? think big Young Man.
Acha matusi mtandaoni
 
Daaah kweli Mkuu na nimaeamini watu Wa nchi hii wanamihemuko na hawajielewi hawajui america raisi ni institution sio mtu

Sio tu USA BRAZA NI DUNIA NZIMA KUWA RAISI NI TAASISI
 
Yaani hizi elimu zetu mbovu sasa zinatupeleka kubaya. Unadhani USA kuna uzembe uzembe wa akina JK? Magufuli kafanya nini cha maana sana kama siyo ubwege wetu wa hapa? Sasa Magufuli atasifiwa kama soka letu la kibongo ambalo ukisikia sifa zinazo mwagwa na hali halisi tofauti ni usiku na mchana!
 
Naungana na wewe kabisa mkuu maana huyu
mtoa post nadhani kutakua kunakitu amekula bilashaka kinamsumbua.

Kama wewe ulivyovimbiwa viroba vya msibani na kuja kuropoka humu mtandaoni
 
Yaani hizi elimu zetu mbovu sasa zinatupeleka kubaya. Unadhani USA kuna uzembe uzembe wa akina JK? Magufuli kafanya nini cha maana sana kama siyo ubwege wetu wa hapa? Sasa Magufuli atasifiwa kama soka letu la kibongo ambalo ukisikia sifa zinazo mwagwa na hali halisi tofauti ni usiku na mchana!

Kila mtanzania anijua vizuri USA!!!! kazi ipo yani bro unajifanya unawajua wa america kuliko wagogo wa dodoma
 
Naona mnaanza kupeana sifa za kijinga lakini mjiandae kupokea na aibu itakayofuata kwani ngoma ikipigwa sana mwisho wake upasuka.

Well said mkuu ................ Tatizo litakuwa kumaintain!!

Hata Morinho wa Chelsea alivuma sana ............ leo nafikiri kila mtu anajua kilichompata!! Wote tunakubali ameanza vizuri ......... Je ata maintain?? Binadamu kwa ujumla tuna hulka ya kutoridhika. Hawa hawa wanaomshangilia leo ndiyo wanaweza kuwa wa kwanza kumponda. Na hawa ambao hawajaridhika au wanasubiri kuwa convinced ndiyo wanaoweza kuja kumevaluate fairly mwishoni!!
 
huyu jamaa kwenye mental retarded atakua kundi la profound
 
Jamani hivi humu JF wakitokea vichaa wawili au zaidi wakamtamani Nkurunzinza basi Burundi waingie kwenye mitandao waseme "watanzania wamkubali nkurunzinza",that's insane!
 
Sifa kama hizi Tz ni kawaida tu. Utakuta hata timu zetu za Simba na Yanga huwa zinalinganishwa na Barca, Madrid n.k kwa kutandaza soka. Sifa ambazo hazina. Marekani kuongozwa na mtu mweusi ni ngumu sana. Obama mwenyewe kwangu mimi namtoa kwenye watu weusi.
 
Chanzo: wavuti

Mkuu kuhusu IQ ndogo ya watz si jambo la mtandaoni/wavuti. For sure mimi ni mwanasayansi ya akili, UKWELI ndo huo wala usibishe maana ukitaka prove nitafute, ingawaje hata weny akili za kufikiri kwa kina wanaliona hili hata usipopewa uthibitisho. Ambao wanapinga hili wana upeo mdogo wa akili.
 
Jamani hivi humu JF wakitokea vichaa wawili au zaidi wakamtamani Nkurunzinza basi Burundi waingie kwenye mitandao waseme "watanzania wamkubali nkurunzinza",that's insane!
Very sure mkuu, so insane!!!! what a poor mind to think so....
 
Nina wacwac sana kama hizo mails ni za Wamarekani, as far as i know shule zao huko hawafundishwagi habari za nchi za Kiafrika, wao wanajua Africa ni kama nchi 1 tu. Nipo tayari kupingwa but siamini kama hayo tuliyosoma hapo ju ni ya raia wa USA, Labda hao watu wawe ni viongozi wa nchi hiyo na sio raia wa kawaida.
we jamaa ni mwongo sana!! kwani we ni mmarekani??
 
Nina wacwac sana kama hizo mails ni za Wamarekani, as far as i know shule zao huko hawafundishwagi habari za nchi za Kiafrika, wao wanajua Africa ni kama nchi 1 tu. Nipo tayari kupingwa but siamini kama hayo tuliyosoma hapo ju ni ya raia wa USA, Labda hao watu wawe ni viongozi wa nchi hiyo na sio raia wa kawaida.

.
kumbe ni wajinga kuliko sisi? wanafunzi wetu wanajua Amerika ni bara ila wa huko Marekani wanajua Afrika ni nchi.
 
Mpen muda mkuu apumue wajamen mtamtindilisha af mje kumdis humu ndan
 
Back
Top Bottom