jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 25,003
- 22,543
Wamarekani kama wasipomchaguwa Obama..Basi uwezekano kuwa tutaingia kwenye vita ya TATU YA DUNIA ni mkubwa...Hili naomba muweke kwenye rekodi kabisa.
Nasema hivyo kwasababu yeye anawakilisha wale wanausalama wenye intelligence zinazoonyesha kuwa bila mazungumzo Taifa hili kubwa liko hatarini kuanguka.
Na hatari hiyo inaweza kuanzia hata marekani kwenyewe...Juzi tu kuna mtu ameingia na machine gun yake na kuuuwa watu hovyo kanisani kwa madai kuwa wao ni liberals...Na liberals ndio hao kina Obama.
Kimtizamo...Kuna mgawanyiko mkubwa sana...Ndani ya wamarekani wenyewe na vyombo vyao vya usalama...Ndugu zangu tuombe Mungu tu.
Kwani mmarekani anapambana na mchina na mrussia...Na mwarabu mwenyewe keshakabidhi UHURU WOTE kwa hao watu ili wapewe ulinzi.
Kwanza hata Irani wenyewe nahisi tayari wana Nyuklia...!
Maneno ya kiongozi msomi kama Ahmedinejad kuwa ataifutilia mbali Israel kutoka kwenye ramani ya dunia si maneno ya debe tupu!
Na hata Olmert alikiri juzi kuwa Muafaka wa Israel na Palestine uko karibuni kufikiwa.
Mgogoro uko kwenye mji wa JERUSALEM..Hapo Mc Cain mwenyewe keshasema patakuwa makao makuu ya Israel siku akiapishwa kuwa Rais..Makao makuu ya Israel sasa yako Tel Aviv.
JERUSALEM NI MJI WANAOUPIGANIA NA KAMA HAWATAWEZA KUISHI PAMOJA KAMA OBAMA ANAVYOWATAKA WAFANYE..BASI TUTARUDI KWENYE HADITHI ZILE ZILE ZA VITA...TATIZO NI IRAN.
Mimi nahisi kuna intelligence za siri na inawezekana kabisa kuwa Iran tayari wana atomic bomb.
Balaa hili linaweza kuepushwa...Ila kwasababu demokrasia ni upigaji wa kura...Basi wanatakiwa wasiangalie weusi wa Obama kwani hapo ndio kipimo chenyewe!
Na hakika niko radhi kusema kuwa Obama asipochaguliwa...Basi mambo yanaweza yasiwe mambo kwani viongozi wasiopenda siasa za kidiplomasia..Wanaokumbatia vita tu...Hii ni hatari kwa dunia yetu!
Marekani ni wa kuombewa Mungu watanzania hilo mjuwe.
Nasema hivyo kwasababu yeye anawakilisha wale wanausalama wenye intelligence zinazoonyesha kuwa bila mazungumzo Taifa hili kubwa liko hatarini kuanguka.
Na hatari hiyo inaweza kuanzia hata marekani kwenyewe...Juzi tu kuna mtu ameingia na machine gun yake na kuuuwa watu hovyo kanisani kwa madai kuwa wao ni liberals...Na liberals ndio hao kina Obama.
Kimtizamo...Kuna mgawanyiko mkubwa sana...Ndani ya wamarekani wenyewe na vyombo vyao vya usalama...Ndugu zangu tuombe Mungu tu.
Kwani mmarekani anapambana na mchina na mrussia...Na mwarabu mwenyewe keshakabidhi UHURU WOTE kwa hao watu ili wapewe ulinzi.
Kwanza hata Irani wenyewe nahisi tayari wana Nyuklia...!
Maneno ya kiongozi msomi kama Ahmedinejad kuwa ataifutilia mbali Israel kutoka kwenye ramani ya dunia si maneno ya debe tupu!
Na hata Olmert alikiri juzi kuwa Muafaka wa Israel na Palestine uko karibuni kufikiwa.
Mgogoro uko kwenye mji wa JERUSALEM..Hapo Mc Cain mwenyewe keshasema patakuwa makao makuu ya Israel siku akiapishwa kuwa Rais..Makao makuu ya Israel sasa yako Tel Aviv.
JERUSALEM NI MJI WANAOUPIGANIA NA KAMA HAWATAWEZA KUISHI PAMOJA KAMA OBAMA ANAVYOWATAKA WAFANYE..BASI TUTARUDI KWENYE HADITHI ZILE ZILE ZA VITA...TATIZO NI IRAN.
Mimi nahisi kuna intelligence za siri na inawezekana kabisa kuwa Iran tayari wana atomic bomb.
Balaa hili linaweza kuepushwa...Ila kwasababu demokrasia ni upigaji wa kura...Basi wanatakiwa wasiangalie weusi wa Obama kwani hapo ndio kipimo chenyewe!
Na hakika niko radhi kusema kuwa Obama asipochaguliwa...Basi mambo yanaweza yasiwe mambo kwani viongozi wasiopenda siasa za kidiplomasia..Wanaokumbatia vita tu...Hii ni hatari kwa dunia yetu!
Marekani ni wa kuombewa Mungu watanzania hilo mjuwe.