JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Wanajukwaa,
Moja ya mambo yanayoweza kukuua ni hili la kufumania mpenzi au mkeo na hasa akiwa katikatikati ya sita kwa sita na jamaa mwingine. Mliowahi kufumania leteni uzoefu wenu na nini cha kufanya kuepuka mauaji au madhara mengine yanayoweza kutokea. Kitu gani hasa kinakuuma unapofumania au kugundua mpz wako analiwa.
Karibuni.
Moja ya mambo yanayoweza kukuua ni hili la kufumania mpenzi au mkeo na hasa akiwa katikatikati ya sita kwa sita na jamaa mwingine. Mliowahi kufumania leteni uzoefu wenu na nini cha kufanya kuepuka mauaji au madhara mengine yanayoweza kutokea. Kitu gani hasa kinakuuma unapofumania au kugundua mpz wako analiwa.
Karibuni.