Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Wadau wavamizi wa msafara wa Tundu Lissu wilayani hai siku za hivi karibuni wametambulika Ni hawa Hapa , walivamia mpaka magari.
CCMWametumwa na chama gani kufanya fujo?
Peleka polisi kwa hatua zaidi
Huyu hata jicho pori anatoa
Huyu hata sura yenyewe ya kishetani akipatikana ni kujigawia tu
Huyu kicheche ndo alikuwa amekaza shingo pale kwenye msafara na kujifanya mzalendo?
Policcm, au?Peleka polisi kwa hatua zaidi
Kuna siku itafika woote watatajana kama ilivyo kuwa pale kenya walipo takiwa kwenda ICC pale the Hague
Huyo akipatikana ni kujigawiaHuu mlupo nao ulivamia?
Aliye kuita jinga lao alijua sana kilicho kutokea kipindi unazaliwaPeleka polisi kwa hatua zaidi
Zaidi ha kunguruCCM wamekua waoga mnoo
Halafu kumbe mdau wa mundeAcha unafiki ulileta hi picha binti akijipongeza na elfu ishirini ya malipo baada ya kazi.View attachment 1539347
Kumbe levi pale alikuwa pwax
Aliye kuita jinga lao alijua sana kilicho kutokea kipindi unazaliwa