TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,505
- 28,437
Mmeamua kumchanganya ....kwa makusudi...ili mumnyime chama, siyo...!?
Weka wazi id yakolazima mambo ya msingi yazingatiwe elimu sio siasa tena asiishie hapo wapite vyuo wote ambao walipenya bila sifa wawafix wanapostahili
na wewe ni Dr? vyuo vinavyotoa doploma vipo je varsities hutoa degree tuu? mimi najua hutoa kuanzia certificate na kuendelea!Kimsingi, Vyuo vya Diploma vifundishe diploma na Vyuo Vikuu (Maprofesa) vifundishe digrii!
Tunaomba tokeo lake la ku risitHuyo mtoto alireseat akaendelea acheni ushambenga matokeo ya kureseat hamna mnaongea kishiranga kishambenga kikunanku kishombondokoloko kitawaponza
Hata pale walikuwa wanasomea ualimu.Nani kawatuma kujitetea??? Je hawajui rais anavyombo vya uchunguzi (TISS) na kuwa hawezi kuongea kitu bila facts?? Nadhani kwa dharau yao hii itabidi wasirudishwe UDOM, na watasambazwa kwenye vyuo vya ualimu, asiyetaka aache. Serikali haiwezi kutumia njia ya mkato.
Magufuli ni dikteta. Hasikilizi watu. Anajifanya anajua kila kitu kwa sababu anajua boiling point ya silver. Hata hotuba anazoandikiwa baada ya watu kufanya uchunguzi hazisomi anasema tofauti.Nani anampotosha JPM, au anajipotosha mwenyewe?
Mwanangu kuwa macho na posts zako kuna sheria kandamizi za mtandaoMagufuli ni dikteta. Hasikilizi watu. Anajifanya anajua kila kitu kwa sababu anajua boiling point ya silver. Hata hotuba anazoandikiwa baada ya watu kufanya uchunguzi hazisomi anasema tofauti.
Hiyo ndiyo naitaka niende kui challenge mahakamani.Mwanangu kuwa macho na posts zako kuna sheria kandamizi za mtandao
Ok lkn unaweza kuichallenge ukiwa huruHiyo ndiyo naitaka niende kui challenge mahakamani.
Hahaaa...huyo Mzee mwanakijiji siku hizi ana deal na UKAWA tu...kwenye maswala kama haya yanayolihusu Taifa letu huwa hasogei kabsa...ni unafiki tu.
Dikteta huwa hangalii sheriaMwanangu kuwa macho na posts zako kuna sheria kandamizi za mtandao
Hata hapa naichallenge nikiwa huru. Hata mahakamani nitaichallenge nikiwa huru. Hata nikifungwa nitai challenge nikiwa huru.Ok lkn unaweza kuichallenge ukiwa huru
Nchi hii haina haki hata kidogo kipindi hiki. I will not encourage you to become a dead hero. Ok have a nice sundayHata hapa naichallenge nikiwa huru. Hata mahakamani nitaichallenge nikiwa huru. Hata nikifungwa nitai challenge nikiwa huru.
Ukiogopa hata ukiwa nje hauko huru.
Ukichallenge vitu hata gerezani utakuwa huru.
I am not looking to be a dead hero.Nchi hii haina haki hata kidogo kipindi hiki. I will not encourage you to become a dead hero. Ok have a nice sunday