dariro
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 276
- 286
Habari zenu wakuu,
Ni hakika kuwa mtu anapopatwa na msiba huhitaji faraja na ushauri wa maana utakaomsaidia mbele ya maisha yake kwani katika wakati huo huwa katika hali ya huzuni na mfadhaiko mkubwa.
Huu ni msiba kwa ndugu zetu,kwa kuwa hawakuwahi kuwaza kuwa itakuwa hivyo ilivyokuwa. Tamko limetoka kuwa wenye div one na two watatafutiwa namna,na wenye three wakatafute vyuo vingine.
Makundi haya yote yanahitaji ushauri wako.
Binafsi nawashauri wale wenye div three wawahi kufanya application za kozi za diploma au certificate nacte kabla muda haujafungwa ili kuwahi mwaka wa masomo 2016/2017.
Hata hao wenye one na two pia wanaweza fanya application kwa kuwa maamuzi ya serikali hayajawa wazi juu yao then baada ya maamuzi watapima wapi waende.
Pia wasikate tamaa, wana ufaulu mzuri tu,wana fursa nyingi za kufanya.
Wewe unawawashauri nini? Watu 8000 sio kidogo,toa mawazo yako,kwani kwa kukosa information juu ya fursa mbalimbali watu wengi wenye ufaulu wa wastani wamekata tamaa katika jamii yetu ya Tz na wale wa wakubwa na matajiri hata wapate ziro watatimiza tu,kwa kuwa wanajua njia na fursa.
Ahsanteni
Ni hakika kuwa mtu anapopatwa na msiba huhitaji faraja na ushauri wa maana utakaomsaidia mbele ya maisha yake kwani katika wakati huo huwa katika hali ya huzuni na mfadhaiko mkubwa.
Huu ni msiba kwa ndugu zetu,kwa kuwa hawakuwahi kuwaza kuwa itakuwa hivyo ilivyokuwa. Tamko limetoka kuwa wenye div one na two watatafutiwa namna,na wenye three wakatafute vyuo vingine.
Makundi haya yote yanahitaji ushauri wako.
Binafsi nawashauri wale wenye div three wawahi kufanya application za kozi za diploma au certificate nacte kabla muda haujafungwa ili kuwahi mwaka wa masomo 2016/2017.
Hata hao wenye one na two pia wanaweza fanya application kwa kuwa maamuzi ya serikali hayajawa wazi juu yao then baada ya maamuzi watapima wapi waende.
Pia wasikate tamaa, wana ufaulu mzuri tu,wana fursa nyingi za kufanya.
Wewe unawawashauri nini? Watu 8000 sio kidogo,toa mawazo yako,kwani kwa kukosa information juu ya fursa mbalimbali watu wengi wenye ufaulu wa wastani wamekata tamaa katika jamii yetu ya Tz na wale wa wakubwa na matajiri hata wapate ziro watatimiza tu,kwa kuwa wanajua njia na fursa.
Ahsanteni