....mzee Mkapa hakukosea, ni wazi "malofa" na "wapumbavu" wamejaa, Trump naye hakukosea kusema bado nchi za kiafrika zinahitaji miaka mia mingine kutawaliwa kikoloni, hoja ya Trump haitofautiani sana na Mkapa, ni kwamba malofa na wapumbavu bado wengi!! The Excellence Dk. Magu, yeye ndo kasiliba kabisa "vilaza", kwani uongo? Rais alikuwa wazi kwamba kuna div one, two, three na ama four zilikuwepo kwa waliokuwa wanachukua kozi special pale UDOM, akaenda mbali kidogo kwamba wenye sifa watatafutiwa nafasi!!! SASA MNATOKEA VILAZA KWA KUHITAJI HURUMA MNAAMINISHA UMMA KWAMBA RAIS AMEITA WOTE VILAZA, KWA HOJA JUMUISHI, mi nasema huu ni ujinga na ni ukilaza wa hali ya juu!!!!